Thursday, December 3, 2009

Muendelezo wa kazi za mtanzania mwenzetu Mrs. Jossyanne na mumewe hapa kwetu Tanzania

Sio tuu kwamba anafanya kazi huko kwa wenzetu marekani bali hata hapa kwetu tanzania ameshafanya kazi kule lushoto kwa masister. Hii ndio kazi yake aliyoifanya akisaidiwa na mumewe. Dada yetu Jossyanne haogopi kuharibu mikono yake kama wengine tunavyofikiria kuwa eti mara kucha zitaharibika etc.




No comments:

Post a Comment