Thursday, December 12, 2013

PANTONE NAMES RADIANT ORCHID 2014 COLOUR OF THE YEAR



Pantone, a global authority on colour, recently picked Radiant Orchid, a purple hue with pink and fuchsia undertones, as the 2014 colour of the year, replacing the 2013 colour, emerald.

In the upcoming year, the purply rose is expected to influence the world of fashion and interior design.


Each year a colour is selected by a secret committee that draws on global influences ranging from popular travel destinations to technology.


Leatrice Eiseman, executive director of the Pantone Color Institute, says next year's colour is an invitation to innovation. Radiant Orchid “encourages expanded creativity and originality, which is increasingly valued in today's society,” she says.

So how can we inject this pinky-purple radiance into our own homes, without our interior looking too much like a child's bedroom? We took some notes from Australia's top colour experts.

Rikki Stubbs is one of Australia's leading colour designers. Stubbs' career in colour and interior design can be traced back to the 1980s. And today, she runs her own colour consultancy, Pure Colour. For Stubbs, colour is the starting point in interior design. 

Friday, December 6, 2013

RANGI KUBANDUKA UKUTANI.....KATIKA NYUMBA ZETU AMA OFISI ZETU...

Mtakubalia nami kua haya ni matatizo tuliyonayo nyumbani kwetu kwa upande wa rangi kubanduka....katika nyumba hii mteja wangu ameniambia kapaka rangi katika nyumba yake mwaka sasa rangi inabanduka nyumba nzima....kama inavyoonekana hapa...yaani ukishika inabaduka kama unachana karatasi.....

SMOOTHOVER SKIMMING PLASTER......KIBAHA SITE

 Homez deco tukipokea mzingo wa SMOOTHOVER ukishushwa ofisini na kuhakikiwa na kutayarishwa tayari kwa kwenda site ya kibaha......
 tumeagiza ndoo za lita 20 na ziko 22...kwa aakjili ya skimming ndani na nje.....product hi haiharibiki kwa mvua ama jua baada ya kupaka ukutani na haina vumbi jingi kama products zingine na husaidia pia afya ya fundi pia kutopata vumbi jingi....


Wednesday, December 4, 2013

COFFEE TABLE AND CONSOLE TABLE.... MADE BY HOMEZ DECO....

 Homez deco.. kama tulivyowajulisha wadau wetu n wateja wetu kua tunatengeneza fanichure za mbao....hii ni mojawapo ya kazi yetu...hiyo hapo tuu ni coffee table na tumetumia mbao ya mninga na tuka spray rangi nyeusi kama alivyopenda....
hii ya pili ni console table nayo ni mninga meza hii inatumika kama urembo na pia unaweza kuweka funguo ama vitu vidogo vidogo ila unatanguliza kisahani kwanza ndio uweke.....maua pia yanakaa vizuri etc......

Hii unaweza iweka karibu na mlango wa kuingilia ndani ama korido...lakini pia inategemea na nyumba yako ikoje na space pia..


Tunawakaribisha wote...kutoa oda...homez deco

Monday, December 2, 2013

DULUX PRODUCTS........

 Products za dulux kwa ajili ya nyumba yako, ofisi yako etc........Kampuni ya Dulux imeweza kukidhi mahitaji yako ya kuanzia mwanzo wa finnishing mpaka mwisho......ndani na nje........
 Kwa muonekano mzuri wa nyumba yako......tunakukaribisha kupata rangi za Dulux....kwani hudumu na huihimili hali ya hewa yoyote ile....na uzuri ni kua haziwezi kuchakachuliwa kwa njia yoyote ile.......

 Hammerite kwa ajili ya mageti yetu, grills etc......
Hapo juu ndio color chart ya Dulux....hivyo basi karibu tuchague rangi kulingana na upendavyo na utapewa ushauri bure,,,,
 Muonekano wa rangi za ndani na nje....kwa ujazo wa lita 5 na lita 20......lita moja ya rangi ya dulux inapaka sqm..10 kwa mpako wa kwa kwanza...na hufunga mapema..hivyo utahitajika kupaka mara mbili tuu....na huvutuia na muonekano mzuri.....

FOR SALE........


Tunapenda kuwakaribisha wate kua kama una furnitures mbali mbali za majumbani, maofisini.....karibu utangaze nasi...na tutakusaidia kuviuza kupitia blog yetu.....

Huu ni mwisho wa mwaka na natumaini kua wengi wetu, vitu vyetu tunataka kubadilisha majumbani mwetu ama ofisini kwetu.....sasa kwa kutangaza nasi utaviuza na vitasaidia pia kwa watakaonunua.....


Tunatanga mali ambazo hazijaharibika na ziwe katika hali nzuri na ya kuridhisha.......

Katika kipengele hiki nashukuru kua kimeendelea kutusaidia na kuwasaidia wengi wetu....na tumepata vitu vizuri na tunaendelea kuvitumia......


Wasiliana nasi kwa namba 0713 - 920565...

karibuni.....

FURNITURE ZA MBAO.....MNINGA.....ZINAPATIKANA HOMEZ DECO BY ORDER

 Tunawakaribisha wadau, wateja etc. Hapa homez deco kua tumeanza kutengeneza furniture za mbao...aina yoyote ile kulingana budget yako.....
 Tuna design nyingi za kuanzia makabati ya vyumbani, jikoni, vitanda, meza za chakula etc....
 hizi ni baadhi ya kazi zetu....ambazo zimetoka last week kwenda kwa wateja...na vyote hivi tumetumia mbao aina ya mninga....na tumepaka rangi tofauti....dark oak na mahogany.....
 wasiliana nasi kwa kutoa oda na utengenezewe.....