Monday, December 29, 2014

METAL BEDS......

 Size 4 by 6 tshs. 320,000
 Size 4 by 6 tshs. 320,000
 Size 4 by 6 tshs. 320,000 @
 Size 4 by 6 tshs. 320,000 @
Size 5 by 6 tshs. 380,000.

FORONYA ZA MITO....NA DECORATIONS ZA MEZA YA TV.....

 Mteja wetu alitaka colorfull...foronya kwa ajili ya sofa yake..hivyo akatoa oda na tukamtengenezea....
 Decorations pia....hizo za red and green...ni kutoka homez deco.....napenda kushauri kua....meza za tv tusiziache tupu...tuweke decor....zinasaidia sana kupata muonekano mzuri wa sebule yako.....
Kwa mahitaji ya decor...foronya....mito...wasiliana nasi 0713920565.....mikoani tunatuma...
Nb: tu follow instagram @homezdeco

MITO NA FORONYA......

 Mito na foronya ikiwa imefika nyumbani kwa mteja....wetu Dodoma.....nafurahi sana sana..wateja wangu mnaponirushia picha..ili tuweze ku share na wadau....na mnapenda kazi zangu....

Kwa mahitaji ya mito na foronya tuwasiliane...0713920565 uweze kutoa oda yako....na size yoyote ile utakayo....

3 IN 1 SAA YA UKUTANI.....

Saa ya ukutani ikiwa imeshafika nyumbani kwa mteja.....

Tuesday, December 16, 2014

USHAURI...MAONI....


Napenda kuchukua nafasi hii kuwashukuru wadau wote.....wateja wote...marafiki ndugu na jamaaa..ambao mmeni support tokea ninaanza biashara hii na huu ni mwaka wa 6 sasa...
Biashara hii yangu imeniwezesha kufika na kuzunguka maeneo mbali mbali... ndani na nje ya Tanzania..... na pia nimeweza kuonana na watu mbalimbali....na kupata wateja....marafiki etc...
Sasa basi...naomba na ninakuja kwenu...ninashukuru sana sana kwa support yenu mnayonipa bila kuchoka....
Homez Deco...tumeamua kutoa nafasi kwenu wadau....wateja...marafiki...etc....tunaomba ushauri....maoni...etc...yahusuyo kazi zetu.. je tuboreshe wapi.... tulikosea wapi... ulikwazika wapi... yaani tuambie.. unachoona wewe ukituaambia... tutaweza kuboresha.. huduma zetu.. na si tutafanya...
Hakuna binadam aliyekamili....na najua kuna ambao nimewakosea... kuna ambao mmenikosea...etc...napenda kuchukua nafasi hii... kuomba radhi... kokote uliko...

Homez Deco.. inakuomba radhi.. kwa mapungufu yaliyojitokeza mwaka huu 2014...nasi tunasamehe wale wote waliotukosea pia.

Tunategemea.. mwaka ujao 2015.. kufanya vizuri zaidi na zaidi.. na hii ni katika mchango wako utakaoutoa kwetu.. wapi na wapi... nini na nini kifanyike....tutafanyia kazi....

Tunakaribisha mchango wako wa mawazo.. maoni... ushauri..etc...kuhusu Homez Deco... waweza kutuandikia kwa sms ama simu no. 0713920565.....ama email: homezdeco@yahoo.com
na pia unaweza ku comment humu humu...kwenye articals za blog hii  na itatufikia..
pia endelea kua nasi katika page yetu ya instagram.. tu follow: @homezdeco

Nawapenda sana sana sana... na endelea kua nasi....Homez Deco....

THANK YOU ALL.....MY FUNS...FOLLOWERS...MY CLIENTS...ETC...



JINSI YA KUTUMIA COLOR ZINAZO SHOUT...KAMA ORANGE...ETC...

 Rangi zinazoshout...ziko nyingi ila leo mimeonelea nitumie kutolea mfano rangi ya orange....
rangi hii ni kali... na ukifanya mchezo.. nayo itafanya pale ulipoitumia kuonekana kituko na hutoipenda....
Napendelea sana sana..kutumia rangi hii kwenye maduka ukutani..kwa mtu anaetaka shouting colors..maana hufanya duka lionekane..
Ila kwa nyumbani.... tumia rangi hii kwa upande wa decorations...na sio ukutani.... kama mifano ya hizi picha hapa.. yaweza kua kwenye pillows...ama pazia.. ama carpet....yaani vitu vidogo vidogo....
kumbuka sofa ni kubwa.. hivyo kua makini.. orange isitawale sana....itakuchosha...

Friday, December 5, 2014

PANTONE'S 2015 COLOR OF THE YEAR IS WARM COMFORTING BOOZE


Like a childhood mood ring you really wanted to believe in but always knew was hogwash, every year Pantone predicts our national mood by highlighting a single shade from its library. This year's choice—the company's 15th annual color of the year—all about "sophisticated, natural earthiness." Or maybe just wine, which works too.
Today the company announced that 2015 is going to be all about Marsala, a red-brown hue named for the Sicilian wine. According to Pantone's panel of experts, it's a color that "enriches our mind, body and soul, exuding confidence and stability." How? By reminding us of food and booze! Here's what Pantone's Executive Director has to sayabout the choice:
Much like the fortified wine that gives Marsala its name, this tasteful hue embodies the satisfying richness of a fulfilling meal, while its grounding red-brown roots emanate a sophisticated, natural earthiness. This hearty, yet stylish tone is universally appealing and translates easily to fashion, beauty, industrial design, home furnishings and interiors.

Thursday, December 4, 2014

SALE SALE SALE......50%OFF........HOMEZ DECO PRODUCTS.....



 Wine stand 35,000/=

 Pic frem 40,000/=
 Pic frem 25,000/=

Pic frem 25,000/=
 Decor...zaweza kukaa... kwenye tv stand..ama console table...etc...bei 100,000/=
 Bei 100,000/=
 Table lamps....80,000/=
 Table lamps 80,000/=
 Table lamps 80,000/=
 @ 65,000...zaweza kukaa.. kwenye show case za kabati... corner shelf....home bar...etc...
 3 pics.....95,000/=
3 pics 95,000
Ua..
.90,000/=

Nb: mikoani tunatuma pia....tuwasiliane 0713920565...

KIMYA KINGI.....


 Wapendwa...wadau wangu wote wa Homez Deco....poleni sana kwa ukimya wangu... nilikua safari...kwa muda kidogo....ila nimerudi.. nilienda kufuata mzigo wa decor....na nashukuru kwa uvumilivu wenu...

Mara nyingi ninapokua sipo hua ninakua active kwenye instagram yangu ya homez deco....naomba mjumuike nami huku.. ili muendeelee kupata update...

Sio kwamba blog nimeacha...hapana...niko kote kote.. ila pia tunaenda na utandawazi... na nchi zingine.. hizi social networks... hawazikubali... so inayopatikana ndio ninayotumia...
instagram page yangu ni  @homezdeco
naomba kama kuna maswali.. maoni..ushauri..etc.. wasiliana nami kwa simu namba 0713920565....ama email address: homezdeco@yahoo.com

Asanteni.. na nawapenda.. sana....

Monday, October 13, 2014

WALL DECORATIONS

 Hizi ni decorations.... zikiwa zimefika nyumbani kwa mteja...na zinapatikana homez deco...karibuni muwasiliabe nasi

HOME GOODS RESALE


Je una furniture za nyumbani ama ofisini na ungependa kuuza ....ziwe katika hali nzuri....
Basi wasiliana nasi 0713920565.

Carpet hii inauzwa.. 80,000 - 70,000. Wasiliana nasi 0713920565. Ni size kama hiyo picha ya hapo juu...yankuweza kukaa coffee table.

L-SHAPE METAL SOFA.


 Homez deco tulifanya delivery kwa mteja...hili kochi la chuma pamoja na meza yake.
 Mteja wetu alitaka rangi ya silver na akinipa uhuru wa ku cheza na rangi za kochi hili...
Nakuachia wewe mdau ndio judge katika hili.

Monday, October 6, 2014

HOME GOODS RESALE.....

Carpet hii kwa mahitaji wasiliana na 0719 - 296757.


Hiki ni kipengele.... ni kile cha for sale.. ila nimekibadilisha jina na kukipa jina lingine.. ambalo ni home goods resale...nimeona hili limekaa vizuri zaidi.. ila nakaribisha ushauri wenu wadau....

Kama una furnitures.. iwe niza nyumbani ama ofisini... naomba nitumie picha za hizo furniture.. kwenye what's app 0713- 920565 ama email:  homezdeco@ yahoo.com nami nitatangaza bure.. bila malipo yoyote yale.. na nitatangaza kwenye blog na kwenye instagram page yetu  ambayo ni @ homezdeco
 Kabati hii niya tv... inauzwa....tafadhali kwa mahitaji yake.. wasiliana kwa namba hizi 0719 - 296757.
 Carpet hii wasiliana na 0713- 920565


Kindanda hiki ni mninga inauzwa pamoja na godoro lake  wasiliana na 0783- 537320.

Nb: kwa mauziano na maswali... nimetoa namba hizo hapo.. na homez deco hatutahusika na mauziano.. ama maelewano.. etc... homez deco nikutangaza tuuu....

Tuesday, September 30, 2014

NEUTRAL COLOR

 Hizi ni rangi zilizopooza... unaweza kupaka ukutani ama ukazitumia kwenye accessories ama sofas...etc....
 Hapa neutral color imetumika ukutani...na colorfull imetumika kwenye sofa na mapambo......na neutral color.. inakubali color yoyote ukitaka ku mix and match....

ART....

Niliipenda hii design ya mbao kwemye hii ngazi....hapa kwetu tunaweza.. ukipata fundi aliyetulia.... inawezekana kabisaaa.....

Wednesday, September 17, 2014

HABARI NJEMA KWA WATEJA WETU NA WADAU WETU WOTE.....KOKOTE MLIKO.....

 Homeze Deco tunayofuraha kuwajulisha kua... sasa tutakua tunawaletea vitanda vilivyo tayari...nikiwa na maana kua itakuchua siku 1 kupata kitanda.....na bei pia imeshuka... vitanda vya chuma vitaanzia 300,000 size 5 by6 na 6 by 6....behii huwezi  pata kokotee.....ni bei mpya hizi tumezianza.....na hii ni kutokana na uhitaji mwingi wa bidhaa hizi kwenu nyie wateja wetu na wadau wetu....
Sasa homez deco hua tunasikiliza wateja na kufanyia kazi maombi yenu....
 Tumeanzisha utaratibu wa kupata vitanda vilivyotiari.. na tutakua tunawaonyesha vitanda ambavyo viko tiari.....na kama haujataka katika hivyo nilivyotoa sasa ndio utoe order utengenezewe.. maana design ziko nyingi sasa inakua ngumu kutengeneza vyote....na ndio maana tumeanzisha utaratibu wa kutengeneza baadhi.....
 Vitanda hivi viko tayari...unalipa na kuchukua jioni yake.. yaani ni siku 1 umepata kitanda.....

 Vitanda hivi vinapatikana katika size 5 by 6 na  6 by 6 rangi unachagua wewe na kutuambia ipi unataka na utapakiwa uliyochagua.

 Bei ya vitanda ni kuanzia 300,000 mpaka 400,000 hii ni 5 by 6.
Na kuanzia 300,000 mpaka 500,000 hii ni 6 by 6.

Wasiliana nasi kwa namba 0713920565.  Mikoani pia bidhaa zetu zinawafikia...
Na bila kusahau...usafiri ni juu ya mteja...karibuni.