Wednesday, November 11, 2015

BAADHI YA DESIGNS ZA GARDEN...


 Soon mawe haya ya garden yataanza kupatikana homez deco ...endelea kua nasi...

KWA MAHITAJI YA VYUNGU VYA GARDEN....WASILIANA NASI 0713920565

Homez deco tumeanza kutengeneza vyungu vya maua...size utakayo...
Sizes na bei yake..
Ndoo ya lita 20 bei 45,000
Ndoo ya lita 10 bei 35,000
Lita 4 bei...30,000

Karibu sana sana weka oda yako na utuambie rangi upendayo

Monday, November 2, 2015

RANGI ZA DULUX...


Nyumba ya mteja wetu Arusha.....rangi za dulux zimetumika ukutani...imeingia ndoo 1 ya lita 20...na lita 10 ya vikopo vya lita 5 balcony mbele na nyuma....
Kwenye hayo mawe ya tanga stone hatujagusa....ni ukutani tuu kwa juu.....




Kwa mahitaji ya rangi za dulux...tuwasiliane...0713920565

Monday, September 21, 2015

VYOTE HIVI UTAVIPATA KWETU...KARIBU UWEKE ODA NASI..MIKOANI TUNATUMA PIA....0713920565

 Hiki ni kitanda napia ni kochi...3by6 na 4by6....320,000.....stools 2 na meza...320,000..
Ni kitanda na pia ni kochi...size 3by6 na 4by6.....320,000..
 Size 5by6...400,000...
 Size 5by6....400,000
 Size 5by6...400,000
 Size 5by6...400,000 na stool 1 ni 80,000
 Size 5by6...400,000....stool...80,000
 Kitanda size 5by6..400,000...stool..80,000...kioo....100,000
 Kitanda size 5by6..400,000..stool...80,000


 Size 5by6....390,000
 Size 5by6...na stool...480,000
 Size 5by6...400,000
 Size 4by6...na 3by6...320,000
 Size 4by6...au 3by6...na stool 1...370,000
 Size 5by6....380,000.....

Size 5by6 380,000



 
 Size 5by6...400,000
 Size 5by6....400,000
Size 5by6....400,000..

MEZA ZA TV ZA CHUMA.....

Meza za tv za chuma kila 1 ni 220,000....weka oda yako sasa.....0713920565
Tu follow pia instagram @homezdeco


Thursday, September 10, 2015

COFFE TABLE.....

 Coffee table hizi zote kila 1 bei ni 250,000.
ikiwa na stools 2 bei ni 400,000.....karibuni mtoe oda...0713920565




Tuesday, September 8, 2015

RANGI ZA NJE....ZA DULUX....MOHAWK VALLEY & BEIGE SAND

 Sasa hivi tumeanza kupata soko Morogoro....asante sana mteja wetu kwa kutuamini na kuja kununua rangi zetu
 Mteja huyu alikuja kwetu kununua rangi na alielekezwa na jirani yakebaada ya zile mvua kubwa kunyesha....na majirani wengine rangi zilikua zimebabuka na kupauka kabisa..na walipaka mda mfupi tuu.. .lakini nyumba ya aliyepaka rangi zetu za dulux huyo wa 1..nyumba yake ilikua kama mpya...wakati ilitimiza mwaka 1...
hebu ona...mtu aliyepaka rangi miezi 6 inachakaaa wakati aliyetangulia kapaka mwaka 1 bado iko vizuri....kama mpya...

 Karibuni sana kwa mahitaji ya rangi za dulux...za ndani naza nje...ni imara nzuri na hudumu na kuhimili hali ya hewa yoyote ile...na pia tunakupa ushauri rangi gani utumie na kupendeza....
Tuwasiliane....0713920565