Monday, August 27, 2012

Mapambo ya Kiafrika

 Nimeombwa kuonyesha mapambo ya kiafrika na ninapenda kujibu maombi yenu, katika picha hii hapo juu, hapa kitenge kimetumika katika mito na sofa< na kama inavyoonekama imependeza vizuri tuuu, sasa kwa wewe unayependa mapambo ya kiafrika, unaweza ukabadilisha sofa lako kwa kutumia kitenge ama batiki na ikapendeza tuu, ila uwe mwangalifu na rangi, maana vingine hua vinachuja....
 Hapa napo ni aina ya vitenge vya west africa kama sijakosea, mtanisahihisha.... na ngozi hii ya punda milia inatumika kama decorative carpet.....
 Vitenga havijaachwa nyuma,,, na ngozi ya ng'ombe hiyo hutumika kama decorative carpet
 vitambaa vyenye picha za aina ya tingatinga nazo ni nzuri kwa kutumia.....


Ninachoweza kusema ni kua kwa kutumia vitenge, batiki, ngozi za wanyama, vibuyu, na vitu vyote vya kiafrika katika nyumba yako kwa wale wanaotaka kua na mandhali ya kiafrika, inawezekana, na vitu hivi vinapatikana hapa hapa kwetu Tanzania.

Kwa hapa Dar unaweza kuvipata Mwengem Sleep way, na kwenye hotels.... naomba kwa wale wa mikoani mnisaidie wapi tunaweza kupata vitu hivi ili tuwajulishe wenzetu wapi wanaweza kupata kwenye mikoa yako kwa urahisi...

nitumie sms kwa kupitia 0715 - 920 565 na nitaleta humu humu kuwaelekeza........

Haya CL zetu twazihifadhije? (Hii ni kwa viatu vyote sio lazima viwe ni CL ndio uzitunze).......hahahah



True is it?


Thursday, August 23, 2012

Decorating Secrets & Tricks, From Interior Designers - USA

Pile On the Pillows

One pair of pillows always looks skimpy. Use two pairs, in contrasting patterns, colors, and textures.
This Los Angeles apartment's living room is by designer Melissa Warner.




Buy a Bigger Bed

Small-scale furniture only makes a small bedroom look smaller. Try a high bed and a tall headboard. Your room will grow.
This Los Angeles apartment's bedroom is by designer Melissa Warner.

Go Dark

Dark walls do the opposite of what you'd expect: They make a small room feel bigger.
The tower room in this New York apartment is by designers Kristen Fitzgibbons and Kelli Ford.


Wallpaper Is Easy

The fastest way to make over sliding closet doors is to wallpaper them, like Melissa Warner did to turn a bedroom into her office.
The office in this Los Angeles apartment is by designer Melissa Warner.


White Works

You'll never get tired of a white room.
The living room in this New York cottage is by designer Vicente Wolf.



Mix Styles

A four-poster bed will take the chill out of a modern bedroom.
The master bedroom in this New York cottage is by designer Vicente Wolf.


Layer Your Lighting

Four lamps are better than two. You need ambient light for mood and direct light for reading.
This bedroom is in a New York apartment by designer Kirsten Fitzgibbons.



Tuck In Your Throws

Keep throws under control. Fold them lengthwise, then in half, then tuck them into cushions.
This library is in a New York apartment by designer Kirsten Fitzgibbons.



Kick Your Traditional Coffee Table to the Curb

The most versatile coffee table you'll ever own is an ottoman topped with a tray.
The family room in this New York cottage is by designer Vicente Wolf.

Skirted Furniture Finishes a Room

Too many chair and table legs can make a room "nervous." A skirted piece or two will make it feel "grounded."
The living room in this Los Angeles apartment is by designer Melissa Warner.


Gold Is Gorgeous

Gold is back in a big way. A few accents will warm up a room, like this classic living room. The living room in this New York apartment is by designers Kirsten Fitzgibbons and Kelli Ford. 


Leather Lasts

The most indestructible fabric for dining chairs is leather or vinyl. Especially if you want white.

The dining room in this Los Angeles apartment is by designer Melissa Warner.


Switch Up Your Seating

Mix up the seating at your dining table. You wouldn't have eight identical chairs in your living area.
This New York house's dining room is by designer Vicente Wolf.


Don't Forget the Closet Lighting

Love your closets. Paint them, paper them, hang pictures in them to inspire you. And definitely light them.
This closet is in a Los Angeles apartment by designer Melissa Warner.











Tuesday, August 21, 2012

Exterior Design Wish List

It seems simple, but first impressions matter. When dreaming about a new exterior for your home, think about what you want neighbors and family to see and feel when they arrive at your house. And just like you might for a kitchen or bedroom redesign, pay attention to what you like. Browse through magazines or drive through neighborhoods, take notes of exteriors that appeal to you. Try to identify the features and elements that stand out to create a beautiful home. Think about the impression you want to make and draw from ideas, colors and themes that you like. Remember, bringing inspirations to life, inside or out, can be fun and rewarding!

No matter what the style of your home, the key to creating a unique look is blending different styles, colors and textures of exterior cladding products. For example, pairing stone with a clapboard and shake creates different textures on the exterior of your home. This also gives your home some dimension as well. 



Nyumba za ghorofa.......Ngazi msizisahau.....



Friday, August 10, 2012

Nyumba yako ni ndogo kiasi gani?

Hapa ni sitting room, naomba niseme kitu kimoja, baadhi yetu, tumekua na fikra kua tukiweka fanicha za gharama ndio nyumba inapendeza....... ama tukijaza vitu kwenye nyumba zetu ndio kunapendeza,,..... tena hatuangalii ukubwa wa nyumba, chumba etc... ilimradi tuuu tuonekane nyumba imejaa ndio unajua kuko sawa.......napenda kuwaambia kua hapana.... hatuendi namna hiyo......
Nyumba hii ndogo, na anaekaa humu ameona ni bora aweke vitu vichache na vyenye sehemu ya kuhifadhi vitu..... kama hili kochi linavyoonekana, chini ameweka droo na amehifadhi vitu..... sasa kwa wewee mwenye nyumba ndogo, jitahidi ununue makochi ambayo yana uvungu, ili ule uvungu uweze kutumia kwa kuhifahdi vitu, unakumbuka vile vikapu nilivyo waonyesha? sasa angalia ukubwa wa kochi lako na uweke kama vitaingia 2 ama vitatu, na kumbuka kusafisha mara kwa mara ili kuepusha uchafu na uvundo.

kwa upande wa kitanda napo ni hivyo hivyo, tumia uvungu kuhifadhi kama ni nguo,, mashuka etc. na ukumbuke kufanya usafi mara kwa mara na kuepusha uvundo.... sio lazima kutengeneza kitanda kama hiki, hata ulichonacho kama kina uvungu, basi weka vile vikapu, ila ndio usivijaze huko uvunguni, maana utakua ni uchafu, 2-3 vinatosha.....
Jiko, hili dogo linatosha kabisa, kwa nyumba ndogo... na hapo hapo pakawa ni sehemu ya kulia chakula. weka jiko lako katika hali ya usafi wakati woote.... maana kumbuka jiko dogo, sasa likiwa haliangaliwi vizuri hali itabadilika na nyumba itazidi kua ndogo, na panya na wadudu wengine ndio watakua wageni....
Haijalishi, kua unapokua na plazma tv, basi ni lazima ukanunue tv stand ya plazma special....... hata ya mbao ama chuma pia itafaa tena hizo ni imara sana...
Bafu hili ni dogo mno, ila limewekwa vizuri, na kumbuka kwenye nyumba ndogo rangi za ukutani inabidi ziwe ni ng'aavu......zinasaidia chumba/nyumba kuonekana kubwa
Kwa upande wa jiko, jitahidi kuwa na sehemu za kuhifadhi vitu vyako nyingi, na uhifidhi kwa usafi...


Kua na nyumba ndogo sio eti ndio uwe mchafu, ama huwezi kufanya usafi, na kupaacha tuuu. ukihidhi vitu vyako vizuri, na ukiwa na nafasi ya kuhifadhi basi kila kitu kitakua poa.....

Zawadi ya bi harusi mtarajiwa.......


Zawadi ilikua ni kitanda, stool, na dressing table....alikabidhiwa katika chakula cha usiku kilichoandaliwa na familia....

inapendeza kwa kweli, hasa ukimzawadia mtarajiwa, vitu vinavyodumu kwa kweli....

nawatakia kila la kheri katika maisha yenu ya ndoa....

Dressing table.......


Dressing table za chuma, ama fanicha za chuma ni imara sana sana...., nikizungumzia kwa upande wa dressing table, design ziko nyingi..... ni wewe tu unahitaji ipi, hizi ni baadhi tuu, na tunachokifanya ni tuna buni design mpya sisi wenyewe......... hii ikiwa ni moja wapo...

dresing table ikiwa na ngazi mbili kama inavyoonekana hapo ni tshs.280,000/- na ikiwa na ngazi moja ni tshs. 250,000/- na hii ni pamoja na kiti chake na mto wake..

karibuni sana....

Neti

Bei ya neti kwa kitanda cha 5 by 6 ni tshs.100,000/-
kitanda cha 6 by 6 ni tshs. 150,000/-

karibuni...

Thursday, August 9, 2012

Chumba cha watoto....vitanda vina ukubwa wa 3 by 6....

 Tuliweka pazia, chumba chao kina madirisha 2....watoto ni wa kiume.....miaka yao ni wa kwanza ana 2 yrs. na wa pili ana miezi   3 sasa....
 Kitanda hiki ni cha mtoto wa miezi 3, tulimuewekea hizi chuma pembeni ili kuzuia asidondoke....
 vitanda vinavyoonekana kwa mbali......magodoro yatawekwa na yeye mteja, alikua hajanunua bado...
Pazia kwa mbali na vitanda.... chumba kilipendeza .....

nawatakia kila la kheri mteja wangu,,,,na familia yake....

Introducing: Facebook page & Twitter account

I would like to take this moment introducing my new FACEBOOK PAGE and TWITTER ACCOUNT.

Itakua rahisi kwa wadau kuweza kupata updates zaangu kwenye mitandao ya kijamii, unachotakiwa kufanya ni ku click LIKE kwenye facebook na FOLLOW kwa twitter, ama kwenda moja kwa moja kwenye kurasa zangu.

FACEBOOK: http://www.facebook.com/HomezDeco

TWITTER: https://twitter.com/sylvianamoyo

karibuni sana......

Mabadiliko ya website/blog yanaendelea....

Habari ndugu wadau.....

napenda kuwaarifu kua, mabadiliko yanaendelea na hayato athiri shughuli zetu za kila siku.....nikiwa namaana ya kutoifunga... tutaendelea kama kawaida...

tunakaribisha ushauri,

nawashukuru wote.

Tuesday, August 7, 2012

Introducing Roman Blind.....

 Roman Blind, ikiwa tayari... hapa ni jikoni... dirisha ziko 2......
 Unaivuta kamba mpaka utakapotaka urefu ufikie....




 tuki set..... roman blind jikoni.....kwa kweli jiko lilipendeza sana. kulikua hakuna pazia lolote, ndio tuliweka sie hizi blind...


 Ofisini, tukiandaa blind, tulishona, na kuiandaaa.....na kwenda kuifunga...
 tuki jaribu, baada ya kuifunga...
Roman blind ikirekebishwa.... kabla ya kumkabidhi mwenye nyumba.....



Roman Blind, ni aina ya pazia, ambayo ni kitambaa tuu hivi hivi vya pazia,, ila kwa hii ina machine maaluum kwa ajili yake,,, na ina kamba kwa pembeni, sasa wewe kazi yako ni kuvuta mpaka pale utakapoona ufupi unaoutaka, ni imara, na ni nzuri...

Inatumika chumba chochote.. kile....
hii sasa malipo yake ni kwa square meter... sasa inategemea na ukubwa wa dirisha lako. na mwisho wa kutengeneza blind ni kwenye madirisha ya mita 2 upana...ndio  inapendeza na kukaa vizuri, ikizidi na kua ni mita 3 upana wa dirisha. basi tunaweka blind 2...

Tunakushuru mteja wetu.. na tunakutakiaa kila la kheri katika kazi zako....


Karibuni sana...