Wednesday, April 30, 2014

DINNING TABLE.........

Meza ikiwa nyumbani kwa mteja wetu......ni yawatu 6....

Tuesday, April 29, 2014

ODA YA SETI YA KITANDA........


 Homez deco tulipeleka seti hii ya kitanda..kwa mteja...
 nilichofurahishwa nacho ni usafi wa godoro lake......katika kuhakikisha godoro lake ni safi...muda wote....yeye ameamua kutumia matress protector....

STOOL YA MNINGA.....


Hii ni oda ya mteja wetu .....alitaka stool ya mninga....kwa ajili ya kuweka ua juu..kwenye sebule yake....kwenye kona....
karibuni kwa mahitaji ya furniture za mbao aina yoyote ile....wasiliana nasi kwa simu namba 0713-920565.

Monday, April 28, 2014

KITCHEN PARTY GALA.......JANA......27/4/2014....

Nina mshukuru Mungu kwa siku hii.....niliweza kwenda kupata mafunzo...na kupima pia afya yangu....Mungu ni mwema kwangu.....

MADIRISHA KWENYE NGAZI.....





Wadau wangu....nimekutana na hii design ya dirisha  katika kazi zangu....na nafikiri hii ni mara ya 2 ama ya 3 kama sikosei....dirisha zina kua ndogo ndogo....

Kwa kweli mimi binafsi sielewi maana ya kuweka hivi vidirisha.......kua mwanga upite ama hewa..ama ni urembo....na unawekaje dirisha chini namna hiyo......

Hapo kwa haraka haraka ni kosa la nani....

Kila mara naleta wenzetu wanafanyaje kwenhe ngazi zao.....nyumba zao etc.....

Naomba kusisitiza...ukisha chorewa ramani kabla ya kujenga tafadhali tafuta mtu wa interio akuchoree kwenye 3d...mpe ramani yako....na makosa utayaona na kurekebisha kwenye computer na utaokoa vingi kwa kweli.....

Thursday, April 24, 2014

UMESHAWAHI KUFIKIRIA KUA NA WALK IN CLOSET...KWENYE NYUMBA YAKO.......




Siku hizi tunajitahidi kujenga nyumba za kisasa....na zinapendeza kwa kweli....kuna mambo tuu madogo madogo ya kuongezea..nimeona leo tuongelee hii walkinn closet....

MPANGILIO UPI UMEUPENDA........KATIKA MOJAWAPO YA STOO HIZI......

 Tumekua tukidharau sana stoo ya nyumba zetu...na kuhisi kua huku ndiko kwa kuficha vitu na kuweka kuwe tuu ulimradi bila mpangilio wowote......

Wednesday, April 23, 2014

LAUNDRY ROOM.........

 Siku hizi kwenye nyumba baadhi ninazoenda....kufanya kazi wenye nyumba wamekua wakitenga chumba cha kufulia.....nje ya nyumba ama ndani karibu na jikoni......kulingana na wanavyotaka .....

BEFORE MEETS AFTER........PILLOW CASES....

 Kazi ya Homez deco katika kochi hili ni kubadilisha foronya ya hiyo mito midogo......

SHEAR BUTTER KUTOKA MAREKANI ZIMEWASILI......KWA MAHITAJI WASILIANA NASI....



 Hii hiko ndogo.....
Vaseline za maji....zipo pia....

Tuesday, April 8, 2014

KWA WALE WENYE NYUMBA ZA GHOROFA......

Leo naomba tuone.....hii sehemu ya nchi ya ngazi kwa wenye nyumba za ghorofa....
mimi katika pita pita zangu....kwenye nyumba...aina hii..hua asilimia kubea kunawekwa viatu..ama kuna choo kwa mbele...ama ndio stoo....na inakua haina mpangilio mzuri....

UNAWEZA KUSEMA NINI KUHUSU PICHA HII......KWAKO MDAU...........KARIBU...

Tutumie maoni yako kwa ku comment. .nami nitairusha.....

Friday, April 4, 2014

COLOR COMBO...SOFA.....L-SHAPE.....FOR 8-10 PEOPLE......



 Pamoja na kua kimya....lakini kazi ilikua inaendelea na tunaendelea na kazi kama kawaida....homez deco tunatengeneza sofa......za aina yoyote...na tunatoa ushauri kulingana na livin8g room yako ilivyo...

SHELVES.......ZA JIKONI....NI MBAO PAMOJA NA CHUMA....


Hapa tuliweka shelves hizi....kwa kua mwenye nyumba hakua na makabati ya jikoni...sasa wakati anajipanga kwa hilo....ndipo tukamtengenezea shelves hizo......

Thursday, April 3, 2014

SOFA INAUZWA....NA IKO KWENYE HALI NZURI.......TUWASILIANE....KWA MAHITAJI....0713-920565


Wapendwa wadau......sofa hii inauzwa na na bado iko katika hali nzuri....rangi ni purple and black....
Bei ya sofa ni 1.2 mil......maongezi yako.....wasiliana nasi kwa namba hapo juu

Homez deco tunawakaribisha kutangaza nasi katika kuuza fanicha zako......