Tuesday, September 24, 2013

MALI MPYA ..........ZINAPATIKANA HAPA HOMEZ DECO.......WASILIANA NASI KWA MANUNUZI - 0713 - 920565

Tunapenda kuwaarifu wadau wetu, wateja wetu na wote kua sasa Homez Deco tuna mali mpya ya sofas na meza za Tv za kisasa........

 Sofas zote bei ni 3,400,000/-  ( bila kusahau discount ipo....)
 Hizi ni sofas zote tulizo nazo.......kulingana na mahitaji yako na space uliyonayo........

Thursday, September 19, 2013

PROJECT IFUATAYO............


HALIMA KIGUA SIKU YA KITCHEN PARTY YAKE.......

 Hii ilikua ni siku ya Halima Kigua.....kitchen party yake........hapa akiwa na baadhi ya marafiki.....kulia ni Jennifer na kushoto ni Faith......akiwa anaingia ukumbini....

RANGI ZA DULUX (10 YEARS GUARANTEE)...........ZIKISUBIRIWA KUPELEKWA KWA MTEJA.......

 Huu ndio muonekano mpya wa rangi za Dulux.....za ndani naza nje.....nikiwa na maana ya wash 'n' ware ama silk na weather guard.

Monday, September 16, 2013

MILANGO NA FREMS ZAKE......

Katika nyumba zetu wakati tunajenga, hua tunafanya maandalizi ya milango na frem.....na katika hili inategemea na wewe mwenyewe unahitaji milango ya ina gani? kama ni mbao, alluminium, ama imported etc.......

Nimeona tuongelee kwenye milango na frems zake......zamani tulikua hatujali sana katika finnishing za nyumba zetu, ila sasa mambo yameendelea na technology pia inazidi kusonga mbele. karibia kwenye kila kitu.

Fashion pia haiko nyuma katika finnishing ya nyumba yako, na kila kitu kinakwenda na mpangilio na aina yake na kwa urembo wake......sasa tusidharau milango. kuanzia wa mbele ya nyumba mpaka mlango wa nyuma ya nyumba.....

HARRY & HARRIET'S WEDDING.....


Ilikua ni siku ya furaha kwa Mr & Mrs Harry....katika sherehe yao ya harusi..iliyofanyika Hellenic Hall

 ....na hapa ni maids wakiingia ukumbini kwa style...na wakicheza

Monday, September 9, 2013

RANGI ZA DULUX.......ZINAPATIKANA HOMEZ DECO......KARIBUNI


 Rangi za Dulux zinapatikana Homez Deco, zinapatikana rangi za ndani na za nje........nikiwa na maana za ndani hua zinaitwa Silk ama Wash 'n' ware. Za nje zinaitwa Weatherguard.......

Wednesday, September 4, 2013

SALE SALE SALE - KITCHEN WARE @ TERRYTEVIS KITCHEN WARE- KINONDONI NEAR HUGO TOWER........PLS CONTACT 0715-350912

 YELLOW MELAMINE PLATE
BEFORE TSH  8,000/-
NOW TSH 5,000/-
 3 PIECESMELAMINE SOUP SET,
 BEFORE TSH 10,000/-
 NOW @ TSH 5,000/-
 KNIFE SET, 5 PIECES KNIVES
TSH 20,000/-

 FOOD STORAGE CONTAINER, 3 PIECE SET, 0.8 L, 1.2 L, 2.3 L
 vacuum pump pull out air, seals lock in freshness, great for storing wet or dry food
BEFORE TSH 45,000
NOW TSH 30,000/-
 RED WINE GLASS
BEFORE TSH 8,000/-
NOW TSH 5,000/-

BEFORE MEETS AFTER.....(SITE YA MBAGALA.....TULIPAKA RANGI ZA DULUX........)



Kwanza kabisa napenda kuomba radhi kwa kua kimya kwa kipindi kirefu kidogo......na hii ni kutokana na mambo yaliyo nje ya uwezo wangu ya kifamilia..........sasa nimerudi tena....kwa speed kama kawaida......

Homez Deco tuliitwa mbagala na mteja wetu, kwa ajili ya ushauri wa rangi, pazia, furnitures na accessories.....za ndani.

Nasi bila kuchelewa, tulikwenda na kutoaushauri kwao, na baada ya makubaliano ya rangi. tulianza kazi mara moja.......

Picha ya juu ni kabla hatujaanza kazi jinsi nyumba ilivyokua na muonekano wako......na kama uonavyo, rangi zimefifia za ukutani, na haieleweki......hii huchangiwa na ubora wa rangi utumiazo.....