Thursday, February 25, 2010

I'm experiencing a problem in the downloading section since yesterday

Wapendwa wangu so sorry tokea jana nina tatizo kwenye upande wa downloading photos and documents.

Ninalifanyia kazi na natumai mpaka kesho litakuwa limetatuliwa.

Nawaomba samahani kwa usumbufu uliojitokeza.

Nawapenda wote na nawatakia siku njema.

No comments:

Post a Comment