Wednesday, November 7, 2012

Nakushukuru Mungu kwa kuendelea kutuwezesha...... pole pole ndio mwendo....Haraka haraka.....

 Heavy duty machine
 Fundi akishona neti
Ofisi  yangu kwa sasa.....panavyoonekana... na hizo hapo juu ni sample za rangi yaani hizo za juu, njano, nyekundu na bluu ni primary colors. na mstari wa chini ambazo ni orange, zambarau na kijani  secondary colors.....


Kwa sasa Homez Deco, inapenda kuwafahamisha kwamba, kwa kua tumekua tukiendeleza vitendea kazi, sasa kwa upande wa vitu vya kushona kama neti, pazia, foronya, vitambaa vya meza na mashuka ambayo tutaanza muda si mrefu.....ect.... nguvu imeongezeka mara dufu...

Kwani machine hii ina uweza wa kushona pazia dirisha 10 kwa siku......

Karibuni sana sana......                                                              

1 comment: