Tuesday, November 27, 2012

Ukimya wa Jossyanne George ..........


Wapendwa wa blog ya garden & landscapings natumaini hamjambo, na familia zenu, nilikuwa kimya sana
 ni kwa sababu nilifiwa na baba yangu mzazi, mzee josiah mwesiga.  nilikuwa tanzania  kwa muda mrefu, nachukua furusa hii kuwashukuru wote, waliotufariji ndugu, marafiki,  na jamaa na jeshi la polisi viongozi wa serikali. na  viongozi wa dini. nawashukuru sana,

 kwa niaba ya familia mzeeJJ M WESIGA .


  

No comments:

Post a Comment