Friday, November 9, 2012

Bidhaa za usafi...Zinapatikana Homez Deco....

 Tumekua tukijenga nyumba zetu nzuri ama kuaa kwenye nyumba nzuri, lakini vipi kwa upande wa usafi? Umeshajiuliza kua, je hizo tiles, ulizoziweka, carpet, Hizi ndizo Products za usafi majumbani mwetu na maofisini ama mahali panapotuzunguka......Matumizi ya bidhaa hizi ni wewe mwenyewe ndio unaaamua utumieje, tofauti na bidhaa zingine ambapo tayari wanakua wame ku limit matumizi......

Product hii hung'arisha sakafu, iwe ni ya tiles, mbao, marumaru......baada ya kusafisha na super 10.....Bei ya Fantastik ni 27,000/-
 Product hii ya care, hutumika majumbani, hospitalini, mashuleni, na sehemu yoyote yenye mikusanyiko....Kazi ya product hii ni huua vijidudu, visivyoonekana, kama maeneo ya vyooni, kwenye masinki, etc...product hii haiharibu mikono na haina kemikali, na pia haijakua diluted....yaani ni wewe mwenyewe ndio utaichanganya kulingana na matumizi yako mwenyewe, tofauti na zingine ulizozoea kuzitumia, tayari zinakua zimeshachanganywa...... Bei yake ni Tshs...20,000/=
Hii ni sabuni hutumika, kuoshea vyombo vya aina yoyote ile, iwe ni glass, masufuria, vyombo vyenye mafuta na huviacha vikiwa ni visafi na bila michirizi etc. hutumika kulowekea nguo laini za ndani, na pia kuogea, na kuoshea mikono.....hutumika pia kuondoa wallpapers.....husafishia mabafu (bath tub), na sehemu zingine za bafuni, tiles, sinks, kusafishia taa...  Bei yake ni Tshs. 26,000/-
 Kwa upande wa nguo, hauko nyuma, sabuni hii ya G! Laundry, ni nzuri kwa kufulia, kwa matumizi ya washing machines(mashine za kufulia) ama hata kwa kufulia kwa mkono...na hubana matumizi kwani unatakiwa kutumia kidogo, kijiko 1-3 tuu kwa ufuajia mkubwa. na ina harufu nzuri.....Pia haichujishi nguo....Ina ujazo wa kg 2.  Bei Tshs. 50,000/-
 Hii hutumika kusuuzia mashuka, mataulo baada ya kufua....nakumbuka nilitoa somo la kuandaa chumba chako kama cha hotel, sasa basi watu wa hotel hutumia product hii kwa ajili ya kufanya mataulo ama mashuka kua soft wakati yanakauka... unachotakiwa kufanya ni baada ya kufua na G1 Laundry, unasuuza na soft, na kuanika...Yakikauka hayatokua magumu ama kukakaaa maa.....Bei  tshs. 18,000/-
Product hii hutumika kila sehemu ya nyumba yako ama ofisi, kwa kufanyia usafi. kuondoa madoa sugu kwenye nguo, jikoni, kwenye masink, kusafisha sakafu ya aina yoyote ile, ikiwamo tiles, mbao, marumaru na matumizi yake ni kidogo tuu na hiyo hapo juu ni kipimo chake....Bei Tshs. 22,000/-

Hii ni furniture polish, ina kazi kuu 3, hairuhusu maji kupenya,  hung'arisha, na huilinda furniture yako. Inahitajika utumie kidogo, hutumika kwenye furniture za mbao, plastics, metal areas, na unaitumia na kitambaa kisafi ama kitaulo, na ni kidogo tuu. Futa vumbi furture yako, paka Lemon Glo, na acha kwa dk. kadhaa na uanze kupolish na kitambaa safi...

Ni rahisi kua na gari iliyooshwa vizuri na kung'aa, na bila rangi ya gari kufifia, Product hii ni nzuri kwa hili, ni 2 in 1 yaani inaosha gari nani pia ni wax ya gari.  Unachotakiwa kufanya ni kuimimina kwenye kifuniko chake ni ambacho kimeshapimwa ni 5mls unachanganya kwenye maji ya 6 lits, ambapo utaweza kuosha mara 100 kwenye kila chupa utakayo nunua......( hutotakiwa kuongeza, nikiwa na maana ya kua uzidishe kipimo, maana gari vumbi litakua linakamata kwenye gari kumbuka ina polish pia)

1 comment: