Friday, November 23, 2012

Dulux Paints........




Hizi ndio rangi za Dulux, ukiangalia kwanza kabisa ndoo zilizotumika kuhifadhia rangi hizi, ni nzuri na zinavutia.....na kwa upande wa matumizi, rangi hizi hubana matumizi sana kwa utumiaji wake, yaani sehemu ya kutumia ndoo 3 wewe utatumia ndoo 2......kwa mfano hicho kindoo kidogo ni lit. 5 kinatosha kabisa kupaka chumba kimoja...... sasa fikiria ndoo ya lit. 20.....

Rangi hizi mzionazo hapo juu, zinatosha kwenye nyumba ya vyumba 3 vya kulala, jiko, dinning, sebule, na nje ukuta wa nyumba nzima......

Kwa upande wa bei, ni mpaka nijue ni rangi gani utahitaji kwani kadri inavyozidi kubadilika ama zile rangi tofauti tofauti kama pink, green, blue etc...bei ni tofauti....

Tayari tumeshaanza kupokea orders za rangi za Dulux na wadau/wateja wetu wanazifurahia na kuzipenda kwani mkombozi wa kubana matumizi amewasili Tanzania......na rangi hizi hudumu ukutani kwa muda wa miaka 8-10.......bila kupauka ama kubadilika rangi yake......

Karibuni mtoe order.....wasiliana nasi kwa simu namba 0713 - 920565 ama email: sylvianamoyo@yahoo.com

No comments:

Post a Comment