Wednesday, July 4, 2012

To all the single mums out there.......


Homez Deco inapenda kuchukua fursa hii kwa kina mama wote niliowataja hapo juu hii ni kwa ajili yenu.......
Vitanda nilivyovionyesha hapo juu mtavipata kwa kiasi cha sh. 295,000/- tu.....bila godoro

Toa order yako na itachukua siku saba kua tayari

Ofa hii mwisho ni tarehe 31/07/2012

Nawatakia sabasaba njema.........

Nawapenda woteeeee.......

Na mungu awe nanyi katika ulezi bora wa familia zenu.

Karibuni sanaaaaaaa

NB:
Naomba tuwe wakweli katika hili.... tunasaidiana, kwa njia moja ama ingine nasi sote tuwe na vitu vizuri.........

2 comments: