Tuesday, August 25, 2009

Shukrani kwa funs wangu wooote

Napenda kuchukua fursa hiii kuwashukuru wote.  Nimekuwa nikizisoma comments zenu na nimefurahi sanaaa.

Ninachoweza kusema ni kwamba kwenye hii blog msisite kukosoa pale ambapo mnaona panahitaji marekebisho kwani mimi ni mdogo wenu,dada yenu etc, nina mapungufu pia na kwa kufanya hivyo tutasaidiana kwa kuelimishina. Hii ni blog ya kuelimishana.

Kuna mdau mmoja anasema kuwa niwe naweka vitu vya bongo zaidi, kwa hapa naomba nimwambie kuwa, blog hiii haiko kwa vitu vya kibongo tuuu bali ni vya dunia nzima, mtakubaliana na mimi kuwa tunahitaji  watu tubadilike na twende na wakati.

Na niko mbioni pia kuna ka program kanakuja kwa atakeyekuwa tayari anaweza kunipigia simu na nikaja nyumbani kwake nikapiga picha na kuziweka kwenye blog bila malipo na ni kwa Dar tuuu. (KWA ATAKAYE KUWA TAYARI).

1 comment:

  1. Hii imetulia sana kweli wa TZ inabidi tuwe tunaona mbali.

    ReplyDelete