Friday, November 23, 2012

Sofa Repair.....

Kuna mdau alinitumia swali, kua kama anataka kubadilisha sofa kitambaa inawezekana?

Jibu ni kua, kwanza niione hiyo sofa, na pia inategemea na uchakavu wake. maana kuna zingine zimechakaa mpaka zile mbao za ndai zimevunji. sasa kwa sofa ya aina hiyo hua nina shauri ununue ingine...maana ukarabati wake utakua ni mkubwa, tena karibu sawa na kua sofa mpya....

Naomba ndugu wadau, muwe mnanitumia picha ya sofa zenu ili niweze kuziona kabla ya kutoa jibu....nitumie email sylvianamoyo@yahoo.com

Karibuni sana........

1 comment:

  1. Hello friends, nice post and nice urging commented at this place, I am in fact enjoying by these. Leather Repairs Bradford

    ReplyDelete