Monday, November 28, 2011

Graduation Ceremony at Karimjee hall on 25/11/2011 IFM University (Namoyo's)


Mnamkumbuka bibi harusi! haya hii ilikua ni siku ya graduation, hapa ni mdogo wetu Stanley, pamoja na yeye mrs. Zainab (linda)

With friends

Hongera dada....


broooooo


Hongereni Namoyo's

Mtu na mjomba ake

Bro na rafikizeee


sis na rafikieee

Hapa ilibidi tuuu bro ashike na ua la dada, maana dada alitupote
 a kwa muda....
Huyu ni mtoto wangu wa kwanza jamaniiiii, ngoja siki ntapiga nao picha woteee wako 4 halafu ndio Jaydan 5. hahahahaa.(hapo nimevaa kiatu kirefu ndio ninamfikia jamaniiii haahhha)

mapumzikoni kabla ya kwenda family dinner.....

Brothers... love u

huyu yeye alikua kazini that time, ila tukawa nae pamoja wakati wa dinner.. Johnson ...

Viatuz

No comments:

Post a Comment