Friday, September 11, 2009

Maandalizi ya Duka!

Napenda kuwaarifu kuwa, weekend hii sitakuwako kuwaletea makala, kwani ninafanya maandalizi ya kuandaa duka langu litakalokuwa Kinondoni manyanya karibu na petrol station ya Mwanamboka  baada ya wanakouza fridge used jengo linalofuata kuna frem mpya za maduka ndio hapo linapatikana.

Duka linaitwa KREATIVE HOMEZ (homez deco).  

Duka hili ni kwa ajili yetu sote ya kuweka mandhali nzuri na ya kuvutia kwenye nyumba zetu na sehemu zinazotuzunguka.

Duka litafunguliwa rasmi siku ya jumatatu tarehe 14/09/2009.

Muda wa kazi ni kuanzia saa 9:00am - 8:00pm siku za kazi

 Siku za weekend ni kuanzia 10:00am - 8:00pm

Joke: kuhusu party ya ufunguzi mtajulishwa maana najua ntaulizwa hahahhahhaa

KARIBUNI SANAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAA!!!

4 comments:

  1. jamani mbona uko busy na duka tuu humu unatusahau? napenda picha jamani za deco mbali mbali km jiko. toilets. sitting rum nk

    ReplyDelete
  2. mambo dada,
    naomba ushauri mie nimepanga nyumba ina vyumba vidogo sana kama futi 10 kwa 8 na sebule ni ndogo vile vile. nahiji msaada ni vitu gani niweke au rangi gani nipake angalau space isionekane ndogo sana.

    tumekumiss jamani rudi basi......

    ReplyDelete
  3. Mambo! Ninawakumbuka funs wangu wotee sio kama nimewasahau. Ni kuwa nawaandalia mambo mazuri.

    Comment ya pili ni kuwa, Ninahitaji maelezo zaidi kwani yako yahajajitosheleza, ninahitaji kujua kama una familia, nyumba ina vyumba vingapi, ni chumba gani wakitumia sana,wingi wa fanicha zako, ni za rangi gani, etc. Kuhusu rangi ni kuwa vyumba vidogo tunashauri kupakwe rangi ambazo ni bright hii husaiida kukuza chumba. Tafadhali karibu sana dukani kwangu siku ya jumamosi hii nitakuwepo kuanzia saaa tano asubuhi- kama uko Dar. Sylvia (Homez deco)Tel:0713 - 920565

    ReplyDelete
  4. OK THANKS TWAFURAHI KM WATUKUMBUKA.yeah najua unaandaa mambo matamu na mazuri.tutakuja dukani kwako jmosi mungu akipenda, ila na hapa pia ututupie picha za dukani plizzzzzzzzzzzzzz tuone unanini na nini na km unaweza kudisplay na bei itakua poa sanaa.mie napenda sana decor jamani

    ReplyDelete