Thursday, March 22, 2012

Uploading photos

Tunapenda kuwaomba radhi ndugu wadau, kwa kua tuna tatizo la ku upload pictures kwenye blog yetu, Tatizo hili tunalifanyia kazi baada ya kua storage ya blog tuliyopewa imejaa, sasa tumeshafuata process zote za kuongeza storage.

Kilichobaki ni kusubiria tu watu update and we will back on track...

Tunawaomba mtuvumilie kwa hilo.

Tunawatakia kila kheri katika kazi za kujenga taifa na familia zetu kwa ujumla....

No comments:

Post a Comment