Sunday, March 11, 2012

Habari za weekend......

Sisi ni wazima na weekend yetu ilikua ni nzuri, maana tulizunguka sites kwa wateja, na tulimaliza salama... twafanya kazi mpaka jumapili, hii inaitwa hakuna kulala. hahahhah...... maana weekend mara nyingi wadau wanaokwenda makazini hua ndio muda wao wa kupumzika na kwenda sites zao ama kutuita mahali wanapoishi...

Poleni kwa majukumu weekend, na karibuni kwa kuanza week.

Twawatakia kila la kheri.......

Somo la Taa linafuata..........

No comments:

Post a Comment