Tuesday, March 16, 2010

As u can see water used in our home

Sasa huu si uchafu jamani, usafi ni 5% tuuu, kwa nini tusipunguze kwenye kuoga, na kwenye ku flash vyooo?????

Mi inanikera sana jamani, na niko mbioni ninaandaa mkakati wa kuwafichua wachafu, nitawaletea mkakati huo ukiwa tayari, mkiupitisha nyie wadau wangu nitaanza, maana bila nyinyi mimi nisingekuwa hapa.

No comments:

Post a Comment