Wednesday, July 10, 2013

MSIMU WA KUPAMBA NYUMBA ZETU KATIKA KIPINDI CHA SIKUKUUU


Habari nduge wadau wangu wote kwa ujumla.......

Napenda kuwaletea mada ya kupamba nyumba zetu katika kipindi cha sikukuu......Yaweza kua ni kupaka rangi nyumba yako, kubadilisha fanicha kwa ujumla, ama kubadilisha mapambo yako ya ndani, ama pia kufanya set up ya mpangilio wako wa fanicha za ndani.....

Katika kipindi hiki cha mfungo wa Ramadhani, ndio muda muafaka wa kufanya maandalizi kwa ajili ya sikukuu ya Idd....usisubirie dakika za majeruhi ndio uanze kuhangaika kupamba nyumba yako....

Ukianza mapema hata na wewe pia inakusaidia kwa njia moja ama ingine kwa upande wa mapambo unakua haikupi tabu.

Sasa basi unachotakiwa kufanya ni kuangalia nyumba yako imekosa kitu gani, ama inahitaji kitu gani ili iwe nzuri naya kuvutia, ili hata wageni watakapo kuja basi usipate aibu, ama hata wewe mwenyewe, pia upate kusherehekea vizuri na familia yako....

Yaweza kua ni rangi ya nyumba......anza kutafuta mtaalam sasa ili uweze kujua gharama, na ujipange mapema hiii.......ama mapazia pia.......etc...

Karibuni sana Homez Deco kwa mahitaji ya kupambiwa nyumba yako na ushauri pia......








No comments:

Post a Comment