Wednesday, May 16, 2012

Comments.......

Naomba kujibu baadhi ya comments zenu ndugu wadau....

1. Kuna mdau aliniuliza wapi anaweza pata magodoro dodoma, ila hakuniambia kama yuko Dar ama mkoani. kwa Dar. anaweza kwenda duka liko karibu na maktaba kuu ya taifa unarudi nyuma jengo la pili. kuna duka la wahindi pale wanauza.....

2. Viti vya garden tunatengeneza naomba tuwasiliane kwa simu ama email. sylvianamoyo@yahoo.com, niweze kukutumia catalogues.

3.Uliye mkoani kitanda ama furniture za chuma ama chochote utakacho kutoka kwetu, unaweza kukipata, tutakutumia kwa njia ya basi, ama lori.... tuwasiliane zaidi kwa simu, 0713-920565

karibuni...


No comments:

Post a Comment