Wednesday, May 16, 2012

Second hand Furniture.....

Ndugu wadau, hiki ni kipengele kipya kabisa kwenye website/blog yetu hii http://www.homezdeco.co.tz
Nimeanza kwa kuweka baadhi ya furnitures, na kwa kweli kipengele hiki kimepokelewa vizuri kweli. Ninaendelea kupokea simu za kuulizwa furniture kama kuna zingine.........

Nilichokua nikiwaomba ndugu wadau, kama una furniture ungependa kuiuza, ila iwe kwenye hali nzuri, nakuomba tuwasiliane, ili nije niiangalie na niikague kama itaweza kufaa kuuzwa, nitaipiga picha na kuja kuitangaza hapa,
Hii itakusaidia wewe, kwanza kupunguza vitu ndani, hela utakayoipata itakusaidia kwa mambo mengine ama kuongezea na kununua kingine, na nyumba yako ikaonekana ni nzuri na safi na yenye mpangilio mzuri, na utatusaidia pia sie tunaohitaji kupata vitu vizuri kwa bei nzuri........
Kwa wale wa mikoani msihofu, nanyi sijawaacha nyuma, piga picha furniture yako na nitumie kwenye email hii sylvianamoyo@yahoo.com, nitahitaji unipigie kila upande, niangalie, na pia kama ina matatizo kidogo nijulishe ili niweke bayana kwa wadau wenzetu waweze kujua.

Nipigie simu namba 0713 - 920 565 kwa maelezo zaidi.

NB;
Kutakua na kulipia tangazo na litakaa kwa mwezi mzima, kwenye website yetu, na tutaweka contacts zako muuzaji, sisi homez deco hatutokua watu wa katikati. mta deal nyie wawili, muuzaji na mnunuzi. kazi yetu ni kutangaza tuuu.... naomba muuzaji wa mali ikitoka/ikiuzwa mtuambie, ili tuweze kuliondoa tangazo.

Nawashukuru wote.....

Karibuni sana sanaaaa........


No comments:

Post a Comment