Tuesday, June 4, 2013

Marble counter tops.......


 Nilitumiwa comment na mmoja wa mdau wetu anaomba kusaidiwa ni product gani nzuri kwa ajili ya kusafisha marble counter tops.....maana zinashika mafuta, na uchafu na kuweka madoa.

Marble hizi zinawekwa jikoni ama bafuni......na katika utunzaji wake na usafishaji wake hazitaki kusuguliwa ama kukwaruzwa......wakati wa kusafisha....na zinahitaji sabuni ambayo haina kemikali katika kusafisha.....
 Marble ziko za aina nyingi na rangi tofauti........


Hii ni product itakayofaa kwa kusafisha marble za aina zote na usafi wowote ule katika nyumba yako ama ofisi.......na hiyo ni chupa yake mahususi maana ina vipimo kulingana na uzito wa uchafu....

Unachotakiwa kuwa nacho ni hii super 10, chupa na kitambaa ama kitaulo kisafi cha kufutia uchafu huo....

Hapa kwenye kitambaa kinatakiwa kiwe kisafi...maana kikiwa kichafu hautakua umefanya kitu....

Kwa mahitaji ya super 10 na chupa yake wasiliana na Tija : 0713 - 336977 na atakupa maelezo zaidi ya jinsi ya kuitumia...na demonstration pia atakufanyia......

No comments:

Post a Comment