Friday, December 21, 2012

Nawatakia maandalizi mema ya sikukuu ya X-mass

Napenda kuchukua fursa hii kuwa takia sikukuu njema......najua weekend hii watu mtakua busy na maandalizi ya hapa na pale....

Nasi pia tunaelekea kumalizia kufanya delivery za wale wote waliotoa oda.....kwetu....

Nitakua busy, ndio maana nimeona niwatakie sikukuu njema mapema....msije mkashangaa imekuaje.....hahhahah.....

Wishing you all Merry X-mass........


No comments:

Post a Comment