Thursday, December 20, 2012

Siku zimekaribia za X-mass......

Nimekua kimya kwa siku kadhaa, na hii ni kutokana na kukimbizana na muda kwa ajili ya kumalizia oda za wateja ambazo wameoda kwa ajili ya sikukuu hizi......

Nashukuru mungu mpaka sasa, ni 90% kazi imefanyika na zimewafikia wateja,,,,

Naomba mniwie radhi kwa kua ilikua ni mchaka mchaka, na picha sikuweza kuchukua....

Nawatakia siku njema.....

No comments:

Post a Comment