Monday, December 10, 2012

Mapambo ya milangoni....zinaitwa wreath......





Mapambo haya ya milangoni katika kipindi hiki cha sikukuu, yanapendezesha sana nyumba.....maana utakuta nyumba kwa nje imepooza lakini ukiingia ndani ndio unakuta kuna mapambo....

Pamba nyumba yako kuanzia nje mpaka ndani......hizi ni baadhi tuu yaa mapambo...waweza buni mapambo yako na yakapendeza sana.....

No comments:

Post a Comment