Thursday, May 16, 2013

Unafanyaje vibaraza vya nyumba yako maji yanapotuama na kuweka ukungu?





Tumekua tukisumbuka sana na tatizo la vibaraza vya mbele ya nyumba zetu, kuharibiwa na mvua, ama hali ya unyevu unyevu kipindi cha baridi.....kutokana na maji kutuama kutoka kwenye paa na kuja kwenye vibaraza vya nyumba zetu...

Na mara nyingi tumekua tukipata suluhisho la muda ambalo ni mvua zinapomalizika tunapaka rangi.

Sasa ningependa kuwajulisha kua suluhisho tunalo katika tatizo hili....Katika kampuni ya
Dulux wametuletea suluhisho ambalo ni product inaitwa RAINSHIELD.

Rainshield ni aina ya rangi ambayo, hairuhusu maji kupenya, nikiwa nina maana kua yenyewe inaruhusu maji kuteleza na sio kutuama (water resistant, crack resistant and it's long lasting acrylic formulation). Product hii husaidia sana katika sehemu za nje kama vibaraza......

Inapatikana katika rangi nyeupe na kijivu isiyokoza....

Lita 1 inatumika 2-3 square meters kutegemea na ukuta ulivyotayarishwa.

Zinapatikana katika ujazo wa lita 5.





Wasiliana nasi......0713 - 920565. karibu.

No comments:

Post a Comment