Thursday, May 23, 2013

Kifuatacho......(80% ni maandalizi 20% kupaka rangi)


Homez Deco tulipata kazi ya kupiga rangi nyumba iliyoko maeneo ya kinondoni......Rangi ya nyumba nzima ilikua ni cream......
 Hapa ni nyumba ikipigwa msasa mlaini, nikiwa nina maana ya tunafanya maandalizi ya ukuta. Ukipiga msasa mlaini ni unaondoa rangi iliyochoka na uchakavu wowote uliojificha......Hatua hii mara nyingi mafundi hua wanaikwepa na kulipua kazi na matokeo yake kazi inakua chafu.......(20% maandalizi ya ukuta 80% kupaka rangi)
 Mafundi wakiendelea na kazi ya msasa kwa ajili ya matayarisho......rangi tulipiga sitting room, dinning, na korido.....ilituchukua siku mbili kumaliza kazi...mafundi walikua ni 3. Kutayarisha ukuta ilituchukua siku moja nanusu.......na tulifanya kazi kuanzia asubuhi mpaka saa tatu usiku siku ya kwanza. na siku ya pili tulimaliza saa moja jioni.....




Hili ni vumbi la rangi iliyochoka baada ya kupiga msasa mlaini nyumba hii.......

Tutaende kuleta picha zaidi......

No comments:

Post a Comment