Tuesday, May 14, 2013

Suluhisho la kwenye ukuta unaosumbuliwa na fangasi, unyevu unyevu, etc.....




 Kuna kuta ambazo zinasumbuliwa sana na fangasi ama unyevu unyevu, sehemu hizi ni kwenye njia za mabomba, sehemu uliyoweka air condition, nje sehemu ya garden inayozunguka nyumba etc.....

Huu ndio muonekano wa tatizo la fangasi ama maji yavyoharibu ukuta......



Kwa mtazamo wa hizi picha utakubaliana nami kua hili tatizo lipo katika baadhi ya nyumba zetu.....matatizo haya ni kua yanaletwa na  maji ya ardhini kupanda juuu etc.....jamani wakati wa kuanza ujenzi, nikiwa namaana msingi ukisha chimbwa ni muhimu kuweka pvc plastics...... Hizi ni plastics zinazoweka layer ya maji ama unyevu unyevu kugusana na tofali...na hivyo kufanya nyumba kua imara.

Sasa kuna baadhi ya nyumba hua hawaweki....ama kwa kutokujua, ama kwa kukwepa gharama.
Kuna msemo usemao KUNA MAKOSA YANAYOSABABISHWA NA FUNDI MJENZI....HIVYO FUNDI RANGI HAWEZI KUYAMALIZA BALI HUYAGHAIRISHA KWA MUDA NA SI KUYAMALIZA......

Kwa mfano hili swala la kuta kuwa na maji maji, ama unyevu unyevu.....asilimia kubwa ni kwamba hazikuwekwa pvc wakati zinajengwa na hili ni kosa la fundi mjenzi....sasa akija fundi rangi hato tatua tatizo bali atalighairisha kwa kutumia products za kuzuia Unyevu unyevu ama fangasi ......na baada ya miaka kadhaa litarudi tena.....

Tatizo lingine ni kutokana na rangi zenyewe. kuna baadhi ya rangi hua zinaleta fangasi kwenye kuta za nyumba zetu....hili nitakuja kuliezea pia......


 Hizi ni kuta kwa nje
 Hapo juu ni ukuta kwa ndani.....
Ukuta kwa nje.....



Product hii ya DAMP SHIELD. ni product mahususi kwa matatizo kama haya.......

Kwanza kabla ya kutumia hakikisha unatayarisha ukuta wako vizuri na kwa kutibu tatizo...mfano, kama mabomba yanavuja basi hakikisha umelitengeneza kwanza ndio utumie hii damp shield..... halafu suribia ikauke vizuri, piga msasa,  futa vumbi na ndio upake rangi yako uliyokusudia......

Product hii inasaidia maji kuto haribu ukuta wako kwa 50%.......na hali hizo ambazo nimeziongelea hapo juu.


Karibuni sana Homez Deco maana mkombozi amepatikana.......

Maelezo....
  • Inakauka baada ya masaa 2 baada ya kuipaka mahali husika.
  • kuirudia kuipaka ni baada ya masaa 4.
  • 12 square meter katika lita moja.....upakaji wake ukutani.
  • Rangi yake ni nyeupe...
Kwa maelezo zaidi wasiliana nasi kwa email: sylvianamoyo@yahoo.com  Tel: 0713 - 920-565

No comments:

Post a Comment