Tuesday, October 12, 2010

Hongera Ritha kwa kupata mtoto wa kike.

Mteja wangu Ritha amenitumia sms kua mungu amemjalia na kajifungua salama mtoto wa kike Sept 15, 2010.

Homez Deco inakutakia kila la kheri na malezi bora kwa mtoto wetu na mungu awe nawe katika safari hii ya kulea.

No comments:

Post a Comment