Monday, December 2, 2013

FOR SALE........


Tunapenda kuwakaribisha wate kua kama una furnitures mbali mbali za majumbani, maofisini.....karibu utangaze nasi...na tutakusaidia kuviuza kupitia blog yetu.....

Huu ni mwisho wa mwaka na natumaini kua wengi wetu, vitu vyetu tunataka kubadilisha majumbani mwetu ama ofisini kwetu.....sasa kwa kutangaza nasi utaviuza na vitasaidia pia kwa watakaonunua.....


Tunatanga mali ambazo hazijaharibika na ziwe katika hali nzuri na ya kuridhisha.......

Katika kipengele hiki nashukuru kua kimeendelea kutusaidia na kuwasaidia wengi wetu....na tumepata vitu vizuri na tunaendelea kuvitumia......


Wasiliana nasi kwa namba 0713 - 920565...

karibuni.....

No comments:

Post a Comment