Friday, August 10, 2012

Zawadi ya bi harusi mtarajiwa.......


Zawadi ilikua ni kitanda, stool, na dressing table....alikabidhiwa katika chakula cha usiku kilichoandaliwa na familia....

inapendeza kwa kweli, hasa ukimzawadia mtarajiwa, vitu vinavyodumu kwa kweli....

nawatakia kila la kheri katika maisha yenu ya ndoa....

No comments:

Post a Comment