Wednesday, June 16, 2010

Ulishawahi kufikiria Kutengeneza Uani kwako?

Siku zote hua tunatengeneza mbele ya nyumba zetu, ndani, ila tunasahau sana uani, huku wengi wetu ndio tunafikiri ni sehemu ya kuficha mauchafu yetu, 

Naomba niwajulishe kuwa hayo mawazo ni potofu, hakuna sehemu kwenye nyumba zetu ndio upange ni sehemu ya kuficha uchafu. Kumbuka kunawengine wana majiko ya nje, nguo tunaanikia huko, watoto wanacheza huko etc. 

Sasa basi tuwe tunakumbuka kusafisha na kuweka maeneo haya salama na pasafi.

No comments:

Post a Comment