Tuesday, June 17, 2014

RANGI ZA DULUX ZIMESHUKA BEI...............TUWASILIANE KWA NAMBA 0713 - 920565 AMA EMAIL: homezdeco@yahoo.com

Tunapenda kuwafahamisha wadau wote kua sasa rangi za dulux zimeshuka bei kwa kiwango kikubwa mno....na hii ni kutokana na kwamba tunapenda wadau wote waweze kupata rangi hizi na kuweza kupendezesha nyumba zao..

Naomba ifahamike kua dulux sio tuu ni rangi za ukuta ni SOLUTION... ya ukuta....kuanzia skimming, kwenye matayarisho ya ukuta.....na pia kuna products nyingi za nyumba nzima kwenye suala zima la finnishing ya nyumba yako ama ofisi...

Dulux kuna rangi za ndani na za nje, kuna vannish kwa ajili ya mbao,  kuna skimming plaster ambayo imeshachanganywa kabisa kumrahisishia fundi....kuna za grills...hammirates....etc

Ninachoweza kusema ni kwamba jamani nyumba ni finnishing pia ,...maana tumekuwa tukikazana sana kwenye ujenzi kusimamisha nyumba... ila inapokuja suala zima la finnishing...tumekua ni waoga wa bei......ila nyumba ukiangalia kwa kweli ni ya gharama....sasa ....ila hili ntakuja kulizungumzia siku yake ingine.....


 Dulux paints inatumika kokote kule.....majumbani, ofisini, nyumba za kuabudu....etc....

 Hii ndio color chart yetu ambayo ina shades...zaidi ya 3200. yaani hapa huwezi kukosa rangi unayoitaka....iwe dark or light.....na pia uzuri wa dulux....hizi rangi ukishatoa order ni kua huwezi kuichakachua....unachokitaka ndio utakachokipata.....sio mara fundi anaongeza rangi nyeupe ama tonner....hapana...na inaokoa muda wa mafundi kuitumia....na ni rahisi kuitumia......ntaleta somo lake kuhusu hili..
 hii ni product ya skimming inatumika ndani na nje......na ni rahisi kuitumia maana imeshachanganywa.....jamani gypsum powder ukutani ni sumu ya rangi......

 ni kweli dulux uta save hela yako. lita 1 ya dulux inapaka square meter 10 kwa mpako 1 wa kwanza....na inawahi kufunga ukutani......
 Product hii ni kwa wale nyumba zinazosumbuliwa na ukungu....unyevu unyevu......kwenye ukuta....mpaka unakuta rangi haikai...ama kudumu.......kuna lita 1 na lita 5
 kuna somo linakuja kuhusu hii picha.........
 Hii hapa ni rangi ya grills ......kwenye grills....ni lazima upake vyote 3 ila kila unapopaka ni lazima uipe muda ikauke ndio upake,,,,,lakini sasa hii imechanganywa yote 3 na unapaka kwa maramoja.....na wale wanaokaa ukanda wa chumvi chumvi......chuma hulika....itawafaa sana hiii........

 Rangi za nje.......zipo pia.......na zina muonekano mzuri...na zinahimili joto, mvua na hali yahewa yoyote ile.....zinapatikana kwa lita 1 na lita 5
 Vannish pia ziko......aina tofauti tofauti.. inapatikana kwa lita 5
Silk ama wash n ware....pia zinapatikana.....inapatikana kwa lita 1 na lita 5

2 comments:

  1. Hi mdada, do you mind telling me the cost of smoothover product. Thank you in advance.

    ReplyDelete
  2. Smooth over zinauzwa kiasi gani? Je ndoo moja inaweza kufanya kazi ukubwa gani kwenye ukuta?

    ReplyDelete