Friday, June 20, 2014

RANGI YA PINK......BAFUNI.....




Umeshawahi kufikiria kua.....rangi hii inaweza kukaa bafuni.....maana tumezoea sana rangi hii iwepo tuu kwenye vyumba vya watoto....wetu wa kike...

Mara nyingi rangi ya pink inaendana na rangi ya papo......hilo nadhani linajulikana....

Halafu jamani......inawezekana kwenye mabafu yetu tukawa tunaweka tiles half.....ukutani....ili eneo linalobaki tukapaka rangi.....na hii itakusaidia kila mara unabadilisha rangi na kufanya bafu/toilet kua na muonekano mzuri na kubadilika mara kwa mara.....tiles tunazoweka zinatu limit mno....na hatimae tunachoka haraka.......


Endelea kua nasi kwenye instragram yetu @homezdeco

No comments:

Post a Comment