Wednesday, November 13, 2013

TUNAOMBA JIBU LA SWALI LAKE KWA MDAU MWENZETU........

Naomba mnisaidie jinsi ya kuosha madumu( vyombo) vya kuhifazia maji, nimetumia njia mbali mbali but naona bado ile rangi ya kijani imekataa kutoka, yanaoneka machafu kweli coz ni meupe na mkono haupenyi ndani..
thanx, mdau wa Arusha.



No comments:

Post a Comment