Monday, September 16, 2013

HARRY & HARRIET'S WEDDING.....


Ilikua ni siku ya furaha kwa Mr & Mrs Harry....katika sherehe yao ya harusi..iliyofanyika Hellenic Hall

 ....na hapa ni maids wakiingia ukumbini kwa style...na wakicheza

 Maids wakiingia ukumbini.....
 Bibi harusi akiwa nje ya ukumbi kabla ya kuingia.....
 Maids wakimsubiria  maharusi.....
 walianza kuingia watoto.......kwa mbalii Jossayanne.....akiwasaidia watoto
 Bibi harusi akiingia ukumbini na baba yake mzazi. na alimkabidhi kwa bwana harusi....Mumewe....
 Mr. & Mrs Harry...
 Wageni waalikwa
 Mama wa bibi harusi
 Maids.....kwa nyuma ni Jossyanne
 Kwenye stage, maharusi

 Ulifika muda wa kukata cake......
 Maharusi wakilishana cake

 The kiss after the cake....
 maharusi waliwalisha matron na patron........
 Wazazi wa bwana harusi wakipewa cake....
 Wazazi wa bibi harusi wakipewa cake




 Ulifika muda wa music........

 Nadhani mtakua mnajua wanacheza wimbo gani wa steps....maana hua hauwezi kukosa harusini........


 Maharusi walibadilisha nguo......


 Na hapa ni kipindi cha zawadi......


 Mheshimiwa Rugimbana, alikuwepo na familia yake.....

Na mwisho ni picha ya pamoja na wazazi wa pande zote mbili...........

No comments:

Post a Comment