Tuesday, August 31, 2010

HIZO NI BAADHI YA SEHEMU AMBAZO TULISHIRIAKIAN ANAO NA KUWAELIMISHA(MRS. JOSSYANNE IN LUSHOTO - TZ)



Niliwapa mikakati jinsi ya kufanya na Ila nilikuta baadhi ya bustani wameishapanda maua na miti ila tulisadiaana nao baadhi vitu. na kuelimishana nia aina gani ya maua, miti ambayo inastahili weather ya Lushoto ni kuzuri sana, wana ardhi nzuri hali ya hewa ni baridi baridi inakuwa rahisi sana baadhi mimea kustawi vizuri udongo wao una rutuba maji yapo. Tulifurahia sana mi na mume wangu kuona walivyojitahidi kimazingira hizo ni baadhi ya kazi ambazo tulishiriki ktk upandaji, wa miti maua. na vitu vingine vingii sana. nashukuru tulipata ushirikiano mzuri kutoka uongozi wa Lushotos sisters na ma fathers,pia namshukuru sana Father odillo.

No comments:

Post a Comment