Monday, February 3, 2014

ODA ZA MIKOANI.....

Wapendwa wadau wetu na wateja wetu......

Tunapenda kuwafahamisha kuwa oda za mikoani tunapokea na zinafanyika na zinatumwa kwenu mikoani....gharama ya kutuma ni kutokana na mkoa uliopo...nani juu ya mteja......

Tunapenda kuwakaribisha wote karibuni mtoe oda na zinafika bila wasi wasi.....

Asanteni na karibuni sana....

From
Sylvia Namoyo.
CEO

No comments:

Post a Comment