Wednesday, September 3, 2014

SAA ZA UKUTANI....ZINAPATIKANA HOMEZ DECO KWA BEI POA....MNO....

 Bei ni 65,000.
 Bei ni 70,000.

Hizi ndio aina ya saa zote zipatikanazo homez deco....ni saa za ukutani....
Kuna saa za jikoni.... sebuleni... vyumbani.... etc..

 Unaweza pia peleka zawadi...kwenye harusi.... kitchen party.... birthday. ..sendoff...ama kama mnamuaga mwenzenu kwazini...etc....


 Hizo za juu ni 65,000.

 Hizo 2 za juu ni 70,000.

Hizo juu zote ni 65,000.

Mikoa yote ya Tanzania pia tunatuma saa hizi....
Ukinunua kuanzia pisi 5 bei ni 58,000 kwa saa 1.

Wasiliana nasi 0713920565.



No comments:

Post a Comment