Tuesday, June 22, 2010

Kitchen Design from a friend, Sophia, thanks a lot.






Hello Sylvia
 
Habazi za kazai, mimi ni mpenzi sana wa blog yako ya HOMEZ DECO, kila siku ni lazima niitembelee,nimefurahi sana kwa uamuzi wako wa kuwa mjasirimali, kweli that is my dream one day to quit this job. Wishing you all the best
 
Napenda sana articles na elimu mbali mbali unayotoa, nimeipenda. Hapa leo nina picha za kitchen, jamani kitchen zetu sisi wengi si nzuri, ni vizuri kushear hizi picha ze wenzetu.Nitajitadi kukutembelea dukani kwako.
 
 
Rgds
Christine

Wednesday, June 16, 2010

Bado unalipenda sofa lako na limechakaa kitambaa?

Kwa mahitaji ya kurepea sofas, za vitambaa, sasa Homez Deco tuna repea sofas, karibu kwa maswali zaidi tuwasiliane.

Haya mawe niliambiwa yanapatikana Kigoma, naomba msaada kama kuna mtu anaweza kujua nityapataje pls tuwasiliane.a

Ulishawahi kufikiria Kutengeneza Uani kwako?

Siku zote hua tunatengeneza mbele ya nyumba zetu, ndani, ila tunasahau sana uani, huku wengi wetu ndio tunafikiri ni sehemu ya kuficha mauchafu yetu, 

Naomba niwajulishe kuwa hayo mawazo ni potofu, hakuna sehemu kwenye nyumba zetu ndio upange ni sehemu ya kuficha uchafu. Kumbuka kunawengine wana majiko ya nje, nguo tunaanikia huko, watoto wanacheza huko etc. 

Sasa basi tuwe tunakumbuka kusafisha na kuweka maeneo haya salama na pasafi.

Monday, June 14, 2010

This is one of my work. Before meets After.(It's a ladies saloon) at Kinondoni near my shop.

Hapa ni kabla  na jinsi kulivyokuwa . Nilikaa na mwenye saloon, na tu ka discuss na nika mdadisi, tulichagua color samples nilizonazo, na nikajua nini anapenda na nini hapendi. Baada ya hapo ndipo nilipoanza kazi. Namshukuru sana kwa ushirikiano wake. kazi hii niliifanya mwishoni mwa mwezi wa tano. Nilipata ushirikiano mzuri na mwenye saloon, actualy ni jirani yangu hapa dukani kwangu.At last tulikuja kupata rangi ambazo yeye alizipenda na tulitumia rangi ya PURPLE, PINK NA GREEN UKUTANI, THEN FURNITURE ZIWE NI BLACK, ACCESSORIES WHITE AND SILVER AND BROWN. 

Kwa ndani, inavyoonekana, mchanganyiko wa rangi....


Hii, ni sehemu ya ma  drier kama inavyoonekana hapa  ukuta nimepaka pinkHii ni sehemu ya kuoshea nywele kama inavyoonekana, ukuta ni pink na green.


Huu ni mlango wa kungilia hapo karibu na kabati, then kama inavyoonekana ni viti na viooo, bila kusahau sony wega kwa juu, ukuta nimepaka purple. (basi kwa movie za kinaigeria huwa hatupitwi wenzenu jamani hhahahaha, joke)

If you have an office, house, etc and you need interior design, or interior decoration pls don't hesitate to call us and we will be there to do the work for you. Just dial 0713 - 920 565.

Comment

Ndugu wadau, kulikuwa na tatizo la comments, kwamba hazinifikii, ila nimelishughulikia baada ya baadhi ya wadau kunijulisha, sasa comments zenu mnaweza kuzi post bila matatizo.

Nashukuru sana kwa ushirikiano wenu.

Wednesday, June 9, 2010

Homez Deco tunafanya renovation for 1 week.

Habari za sasa,

Homez Deco inapenda kuchukua nafasi hii kuwafahamisha kua tunafanya renovation, tunaongeza ukubwa wa duka.

Namshukuru Mungu mpaka hapa sasa tulipofikia, na nawashukuru nyote kwani ninyi ndio mliochangia mafanikio haya yote. Mungu awabariki.

Sylvia - Homez Deco.

White color.........

Curtain poles are available @ Homez Deco. All in black color