Monday, May 5, 2014

AC KWENYE NYUMBA ZETU.




Ndugu wadau....hua najiuliza sana na sipati jibu..ya kwa nini kwenye nyumba zetu ile sehemu yenye AC kwa chini yake hua tunapaacha wazi hatuweki hata picha ....maana hua panaonekana pako wazi mno....


Ingawa inategemea na AC yako ulivyoiweka....

Nivema kuweka AC na ikawa na muonekano mazuri....na wa kuvutia....shautiana na fundi usimwachie ajiwekee ilimradi kaweka...

2 comments:

  1. Nimependa hilo wazo, wall pictures huwa zinapendeza sana

    ReplyDelete
  2. So much informative and idealistic posts..!! Thanks for sharing it with us..!! Loveable home decorations.

    ReplyDelete