Wednesday, August 3, 2011

Ukimya wangu


Habari za masiku wadau wangu,

Poleni sana kwa kuwa kimya, mambo yaliingiliana, (kifamilia). Ila ninamshukuru Mungu sasa niko poa na ninaendelea vizuri na ujenzi wa taifa.

Niliwa miss sana sana sana.

Tuko wote, sasa.

From,
Sylvia Namoyo.aka Mama Jaydan
Director

No comments:

Post a Comment