Hapa ni nyumbani kwa mteja wetu...baada ya kuona hii nafasi iko wazi... hapo ni dinning.. na pembeni kuna makabati...akaja kwetu....akanunua hizi decorations na tukaenda kumpachikia kwenye ukuta wake... decorations hizi ni mbao na tunatengeneza wenyewe....karibuni kwa mahitaji ya decorations....
Monday, September 8, 2014
Wednesday, September 3, 2014
SAA ZA UKUTANI....ZINAPATIKANA HOMEZ DECO KWA BEI POA....MNO....
Bei ni 65,000.
Bei ni 70,000.
Hizi ndio aina ya saa zote zipatikanazo homez deco....ni saa za ukutani....
Kuna saa za jikoni.... sebuleni... vyumbani.... etc..
Unaweza pia peleka zawadi...kwenye harusi.... kitchen party.... birthday. ..sendoff...ama kama mnamuaga mwenzenu kwazini...etc....
Hizo za juu ni 65,000.
Hizo 2 za juu ni 70,000.
Hizo juu zote ni 65,000.
Mikoa yote ya Tanzania pia tunatuma saa hizi....
Ukinunua kuanzia pisi 5 bei ni 58,000 kwa saa 1.
Wasiliana nasi 0713920565.
Bei ni 70,000.
Hizi ndio aina ya saa zote zipatikanazo homez deco....ni saa za ukutani....
Kuna saa za jikoni.... sebuleni... vyumbani.... etc..
Unaweza pia peleka zawadi...kwenye harusi.... kitchen party.... birthday. ..sendoff...ama kama mnamuaga mwenzenu kwazini...etc....
Hizo za juu ni 65,000.
Hizo 2 za juu ni 70,000.
Hizo juu zote ni 65,000.
Mikoa yote ya Tanzania pia tunatuma saa hizi....
Ukinunua kuanzia pisi 5 bei ni 58,000 kwa saa 1.
Wasiliana nasi 0713920565.
Wednesday, August 27, 2014
FORONYA ZA MITO YA CHINI.....PAMOJA NA MITO YAKE......
Foronya zinapatika pamoja na mito yake ya kukalia chini.... size ni 70 by 70. ... foronya ni 15,000. Na mto ni 45,000. Karibuni wote......
Pls follow us on instagram @homezdeco
Pls follow us on instagram @homezdeco
Labels:
Interior
KIOO NA PICHA ZA UKUTANI ZIKIWA ZIMEFIKA KWA MTEJA.....
Picha za ukutani zikiwa nyumbani kwa mteja wetu.. aliweka kwenye korido yake.....ukiingii kutoka mlango wa mbele unakutana nazo....
Tujitahidi kuta zetu tusiziache wazi bila kuweka picha za ukutani kwani zinaleta mvuto zaidi.
Tuwasiliane kwa mahitaji ya home decorations. ... na ushauri....0713920565...
Tujitahidi kuta zetu tusiziache wazi bila kuweka picha za ukutani kwani zinaleta mvuto zaidi.
Kioo pia kinamvuto wake hapo...kioo kikiwa ukutani. ....na kuna saa ya ukutani pia....
Kioo hiki ndicho kilichobaki....waweza weka sitting room. .ama dinning room ama bedroom ama ....korido. .na kikapendeza.....Tuwasiliane kwa mahitaji ya home decorations. ... na ushauri....0713920565...
Labels:
Interior
MITO YA SOFA NA MITO YA CHINI.....YOTE NI KUTOKA HOMEZ DECO...
Tulitengeneza mito pamoja na foronya zake.... mteja alitaka color combo....
Ukiangalia kwa pembeni kulia kuna mito ya floor. ..
Karibuni mtupatie oda ya mito size zote utakazo.... pamoja na foronya zake.. nasi tutawapa mlichooda.....
Pls follow us on instagram @homezdeco
Labels:
Interior
Wednesday, August 20, 2014
NEAST STOOLS.....AND DECOR....
Hizi ni stools... za mbao...tulizozitengeneza sisi home decor...unaweza ziweka kwenye kona sitting room... ama pembeni ya sofa lako.....
Ukiziwekea decoration juu... zinapendeza zaidi...hii ni mifano tuu..na stools hizi husaidia sana ku save kama unawageni wengi... na pia ni decoration na hu save space...
Zinapatikana homez deco ....karibuni
Subscribe to:
Posts (Atom)























