Monday, December 2, 2013

FURNITURE ZA MBAO.....MNINGA.....ZINAPATIKANA HOMEZ DECO BY ORDER

 Tunawakaribisha wadau, wateja etc. Hapa homez deco kua tumeanza kutengeneza furniture za mbao...aina yoyote ile kulingana budget yako.....
 Tuna design nyingi za kuanzia makabati ya vyumbani, jikoni, vitanda, meza za chakula etc....
 hizi ni baadhi ya kazi zetu....ambazo zimetoka last week kwenda kwa wateja...na vyote hivi tumetumia mbao aina ya mninga....na tumepaka rangi tofauti....dark oak na mahogany.....
 wasiliana nasi kwa kutoa oda na utengenezewe.....




No comments:

Post a Comment