Thursday, November 10, 2011

Miaka 5 ya 8020 fashions























Ninapenda kuchukua nafasi hii kwa kumpongeza, Shamim a.k.a Zeze, kwa kutimiza miaka 5 ya blog yake. kiukweli, Party ilinoga, nilikutana na wateja wangu, marafiki, dada zangu etc, it was fun, na kwakweli tulipendeza acha mchezo, hizi ni baadhi ya picha nilizochukua, kama unavyoona wote tulifurahi, na kila kitu kilikwenda sawa, kuanzia, mapambo, vinywaji, chakuja, mshereheshaji/MC - Dina, yaani walijipanga kisawa sawa, nawapongeza kamati yote iliyoandaa tafrija hii.

Nimependa kazi ya lebo yake ya B2A

Shamim amekua akinisaidi kila ninapohitaji msaada wake, ninakushukuru,

Ninakutakia kila la kheri katika safari yako na ujasiriamali, na mungu awe nawe katika safari hii ya ujasiriamali.

(Wanawake tusaidiane, tushirikiane, tupendane, kwa kufanya kivi tutajenga na sio kubomoa).

NB: Speach ya unlce Michuzi, ilinifurahisa sana sasa.

Curtain Rails

HapaPazia letu liko tayari
Fundi akifanya final touches
Tuna taste kama rail zetu zinafanya kazi,

Hapa tumeweka sheer 
Nina taste hizi kamba, na pia uimara wa rail ilivyoshika ukuta, (isje leta balaa), then ninampa go ahead fundi kuweka pazia sasa, baada ya mimi kuridhika na uimara



Fundi akifitisha kamba,




Leo nimeona tuongelee kuhusu curtain rails, hizi kama zinavyoonekana hapa, moja ni ya pazia nyepesi, na ingine ni ya pazia nzito, sasa basi kwa wale wasipenda mambo ya urembo wa curtain pole, ninawashauri watumie hizi, ni nzruri, imara, na ni rahisi kutumia, haiharibu ukuta pia.(curtain poles sio kua zinaharibu ukuta hapana, hii ni kwale wanaopenda vitu simple).

Tuesday, November 8, 2011

Saba Saba 2011 (Banda la Maliasili, upande wa chuo cha taifa)


Hapo juu ndivyo palivyokua baada ya heka heka  kupaandaaa. kwa wale waliofanikiwa kwenda saba saba ya mwaka huu, hii ni kazi ya homez deco.  Tuli design, na kushona kuanzia pazia, bedcover, foronya za mito, scarting ya kitanda. Theme ilikua ni honey mooners room kwa upande wa  hotel.
Baada ya  heka heka, na wateja wangu walifurahi kazi yangu, kitu ambacho ni muhimu katika kampuni yangu. maana ninaweza nikakosa usingizi, mteja anapokua hakuridhika...( si unajua customer care tenaaaa, niliyofundishwa na chuo hikiiii, )
Hapa ni katika hatua za mwisho za kukagua kazi tuliyoifanya, je inaridhishaaaa!!!! (guess what, huyu ndie bibi yake Jaydan) ni tutor wa chuo cha taifa cha utaliii, upande wa rooms division... Love you mama.....
Huu ni mfano wa jiko la hotel
Na hili ni trolley la housekeeping, hotels zote ni lazima hili trolley liwepo, lina rahisisha kazi kwani linabeba kila kitu kinachohitajika na usafi...( kweli hiki chuo cha taifa wamejipanga , yaani ukimaliza course yako, kazi nje nje) Like me nilipata kazi Golden Tulip, tena hii ilikua baadaya ya kumaliza field, wakaniita. Mungu ashukuriwe...
Tusishangae visu, kila kimoja kina kazi yake hapooooo, na hizo pombe ni  mfano wa bar

I loved this table cloth color, hapo ni restaurant.




Yaani hapo ni bussy kweli  kweli 

Maandalizi ya pazia, etc.

NB:

Nilikua kimya but kazi zilikua zikiendelea kama kawa, so msishangae ninawaletea vitu vya miez ya nyuma, mniwie radhi.......

Ladies!!!!!!!!





Hii ni pochi , na begi la kuwekea Laptop,nilichopendea mimi hii pochi ni kua ukiwa umebega hakuna atakaejua kama umebeba laptop, hasa kwa wale wezi, na una beba na kutembea nalo kokote, maana kwenye gari ukiacha, imeibiwa.

Mimi inanisaidia sana, maana sina haja ya kubeba pochi na begi la laptop, maana yananielemea, na mwili wenyewe sasa! haaahahahhah

Pls, ukihitaji, toa order. na utaipata ndani ya wiki 3, pochi hizi zinatokea USA na England.

Inapatikana ktk color, black, maroon, red, animal print etc.

Nawatakia maisha mema ya ndoa Sara na Mumeo (send off day)


Monday, November 7, 2011

I am 9 month old.....( thanks Lord 4 helping raising my baby boy JAYDAN)






Ninamshukuru Mungu kwa kila jambo, na kwa kunipa moyo na kunikuzia Jaydan wangu ua la moyo wangu. Nimekuwa kimya kiasi kwenye ku update blog, nawaomba radhi, kwani najua wengi wenu mnajua swala la kua mama, mwanzoni nilikua ninaona ni simple na tumbo langu, kwani nilikua ninatembea nalo popote pale(hahhhah).

Ila sasa Jaydan wangu anahitaji attention yangu, kazi nayo so sometimes ku balance inaniwia vigumu. Ila nimekua nikifanya kazi kama kawaida za wateja.

NASHUKURU KWA KUNIELEWA, MAAANA SIJAPATA MALALAMIKO MENGI MPAKA SASA, HIVYO INAASHIRIA WENGI WENU MNANITAKIA MEMA MIMI NA MWANANGU.

NACHUKUA FURSA HII KUWAPONGEZA KINA MAMA WOOTEEEEE, KWA KAZI NZURI WANAYOIFANYA YA KULEA FAMILIA ZAO.  

Love you all.....

Sylvia - Mama Jaydan