Monday, May 24, 2010

It's sale sale sale....Everything must goooo.....






Karibuni Homez Deco, tuna sale ya vitu vyote dukani kwa bei ya karibu na bureeeee 

I'm better know.....

Namshukuru mungu sasa naendelea vizuri,na nawashukuru wote mliokuaw mnanijulia hali. Though nimepata reaction ya dawa kidogo, ila natumai haitachukua muda kuisha.

Wednesday, May 19, 2010

Iam not okay since yesterday jamani, lol......

Kwenu wadau, tokea jana sijisikii vizuri kabisaaaaa, kichwa ndio usiseme kinavyoouma, na joto ndio duhhhh, nimeanza dozi ni homa za hapa na pale, though tuko kwenye kupigavita malaria.

Ila nitajitahidi kadri niwezavyo, kuendelea na biashara.

Nawatakia siku njema wooooteeeee.

Monday, May 17, 2010

Makabati ya kijoni, imeletwa kwenu na Jossyane - USA. Tunakushukuru kwa kutuelimisha, dada.(Wote hatuwezi kuwa doctors, enginers, fashionists, etc)




kama picha zinavyoonyesha, jinsi ya mpagilio mzima wa jikoni, kwa wanaojenga nyumba zao, wanaofanya matengenezo wakina mama wakina dada hata wakina baba jiko ni sehemu muhimu sana ktk nyumba,na ni lazima ipewe kipaumbele kuaanzia rangi, organizing yaani mpangilio mzima, wa makabati drows,,jiko la kupigia, sink dish washer,frigde, na sehemu za kuifadhi vitu vinginevyo vya jikoni ,
Ndio maana kuna websites za kuelimishana, na kupeana  mawazo najuwa mpo wenye uwezo wenu, ila mnaitaji kupata wataalamu wa kuwapangia nyumba zenu na yaani kama hse oraganizer kwa kila kitu rangi mapazia, vitu vipangweje na ktk muonekano mzima nawaombeni fuateni ushauri wa wataalamu, kama dada Sylvia,
atawaelimisha sana, na kuwasadia kimawazo, na mpangilio mzima wa nyumba zenu na wakina mama mnajuwa mwanamke jiko usafi na upangaji wa vitu sio tena inakuwa kama vita jikoni basi uchafu, vyombo kuzagaa, lazima jioko liwe na mpangilio mzuri liwe la ktumia mkaa, kuni jiko gas umeme mpangilio ni mhimu sana ktk nyumba zetu, wapendwa, naomba tu miwe wa bishi wabaili wa kufuata ushauri wa ndio maana kuna hii websites, ya kuwasidia mlipokwama, asante mama joe.

Kitchen cabinets - from Jossyane - USA




nyingine za kuifadhia vitu jikoni natumaini mumeona mpangilio mzima wa jikoni na jinsi ya kupanga vitu mbalimbali majumbani mwetu unaitaji mpangilio huu onana na dada silyvia designers zipo nyingi inatemea na jinsi ulivyovutiwa, na budget yako. njoo ushauri unatolewa, na kama unaitaji kufuatwa nyumbani kwako kuna fees za kulipa utapewa ushauri nini cha kufanya, na nini usifanye kufuatana na jikoni au nyumba yako ilivyojengwa, pia tunashauri khs rangi za kupiga kwenye nyumba sehemu za biashara kwa wakazi dar epukeni dark colors zinaleta sana giza kwenye nyumba dark red, dark pink,dark blues hizi siyo rangi za dar, hata kidogo rangi za DAR ni cool lights, colors hii nifuatana na weather ya joto tuna joto sana atuitaji 

  rangi zenye giza hiyo ni big dont. nimetembea nimeona waliojenga nyumba zao vizuri ila kizaa zaa ni kwenye rangi mlizopiga majumbanimwenu 
  ombeni ushauri iweje ugarimikie nyumba. yako rangi zikuangushe?? pia wengi wenu nimeona mnapenda sana rangi ya pink plse pink ziko kama iana 12 ni lazima ujuwe ni pink ipi na ina maana ipi siyo ilimradi tuu nawaombeni mje hapo dukani kwetu, mpewe ushauri pia mzione samples mpate ideals. asanteni sana.  

Friday, May 14, 2010

Kwa wadau wangu woteee.

Napenda kuchukua fursa hii kuwashukuru woteee, na pia najua mtakua mnajiuliza ya kua ni kwa nini nimepunguza kasi ya ku upload kila siku.

Naomba kuwapa majibu, ni kuwa kama nilivyo waambia nimerudi full time kwenye biashara yangu, sasa basi ninachofanya ni kupunguza downloadable photos, na kuweka kazi zangu, maana sasa nina muda wa kufanya kazi zangu.

Napenda pia kutoa fursa hii pia kwa wale wa mikoani sasa niko free ninaweza kuja mpaka mikoani kuwafanyia kazi kwa bei nafuu.

Na kwa kuanza nitakwenda Dodoma, nitakuwa huko mwisho wa mwezi huu wa tano kwa muda wa siku mbili, kuna client wangu yuko huko, hivyo mkinihitaji tuwasiliane kwa namba 0713 - 920 565.

Nawapenda wote, na nawatakia weekend njema.

MORE NEW ARRIVALS, KARIBUNI.........

Table decoration.......
Corner flower arrangment..........

Monday, May 10, 2010

MAIL KUTOKA KWA MDAU WANGU UENICE - THANKS A LOT. AND PLEASE KWA YEYOTE MWENYE LINK ANITUMIE NIWEZE KU POST, WOTE TUNAJIFUNZA.

Hello Sylvia,

Hongera sana kwa kazi nzuri, huwa zinanivutia coz mie pia napenda sana Interior Design. Waweza kucheki link below uwawekee wadau wengine wacheze na rangi..coz nimeshindwa kuchagua za kukutumia zote ni KALI!!!

 

Nakutakia mafanikio katika roll yako mpya ya ujasiriamali .

 

http://www.houseofturquoise.com

(NASHUKURU SANA SANA, EUNICE, KWA KU SHARE NASI HII LINK, NA HUA NINAFURAHI KUWA TUKO PAMOJA NA KWA MOYO MMOJA YA KUWA WADAU WANGU SIO WACHOYO WA ELIMU, KWA WENZAO, WANAPOONA KITU KIZURI HUWA WAKO TAYARI KUNITUMIA NA NIWEZE KU POST ILI KILA MTU AWEZE KUONA.)

SOME OF THE COLOR SAMPLES AVAILABLE @ HOMEZ DECO, COME AND WE DISCUSS.


Hizi zote ni rangi zinakuonyesha jinsi ya kuchanganya ni rangi gani inakwenda na rangi  gani, ushauri unapatikana hapa hapa Homez Deco.
Hizi ni hapa chini ni rangi za  vyumba vya watoto, inakuonyesha jinsi gani ya kuchanganya rangi kwenye vyumba vyao, furniture gani na za rangi gani uweke, (unaweza kujiuliza mtoto kila siku analia unampeleka hospitali akichekiwa haumwi, kumbe ni rangi ulizopaka ndio zinamkera)

Hizi ni counter tops samples, ama waweza kusema ni mable counter tops samples, karibu upate ushauri wa jinsi gani unaweza kwenda kuchagua counter tops, kwa ajili ya jiko lako, na ni rangi gani upake kwenye ukuta wako wa jiko, yote yanawezekana sasa hujachelewa.

COLOR SAMPLES - SASA SIO TATIZO TENAAAAA

Homez Deco inayofuraha kuwataarifu kuwa sasa tuna color samples zaidi ya mia moja, zinazoweza kukusaidia, kuonyesha ni jinsi gani ya kuchanganya rangi, kuanzia kupaka rangi ukutani, arrangment, etc. 

Tuna samples za vyumba vya watoto, wakubwa, etc.

Rangi hizi hutumika pia kwenye sherehe etc.

Karibu upate ushauri.

It's all about arrangment

It's all about arrangment

Sunday, May 9, 2010

Shea Body Butter, Vaseline Body butter, Make up, and Hair Products.

Homez Deco, inayofuraha kuwafahamisha kua inawaletea vipodozi, na mafuta kutoka marekani, hayachubui na yanafanya mwili unakua rangi yako ya kuzaliwa na unakua soft.  karibuni sana dukani kinondoni, karibu na mwanamboka.